Makapuku Forum

Makapuku Forum

*Darasani*

*MWALIMU* Nakua mbona Leo unawaza sana darasani? [emoji18][emoji18]

*NAKUA* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali

*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?

*NAKUA* ndio MWALIMU

_NAKUA akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_

*MWALIMU* kwanini baba Yake NAKUA yupo polisi na mama yake yupo hospitali?

*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi



*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]

*[emoji437]‍♂*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
c6bd2337e46d0f1bd6d84f06caa02b48.jpg
 
Back
Top Bottom