Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hili swali nimelichoka Jimena ...na sijui kwa nini watu wanafikiria negative... Kuna watu wanajiita muosha rungu mwengine nanaanto........nashindwa Kumalizia. Hivi hawa wanaulizwa.... Nikiulizwa na mtu mwingine ntatoa sadaka likes zangu nafungua Id mpya.
.. Sijakasirika lakini Jimena kuwa na amani full.
I guess alikuwa anakutamia tu mkuu
 
*Darasani*

*MWALIMU* Nakua mbona Leo unawaza sana darasani?

*NAKUA* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali

*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?

*NAKUA* ndio MWALIMU

_NAKUA akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_

*MWALIMU* kwanini baba Yake NAKUA yupo polisi na mama yake yupo hospitali?

*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi



*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi


*‍♂*
 
*Darasani*

*MWALIMU* Nakua mbona Leo unawaza sana darasani?

*NAKUA* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali

*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?

*NAKUA* ndio MWALIMU

_NAKUA akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_

*MWALIMU* kwanini baba Yake NAKUA yupo polisi na mama yake yupo hospitali?

*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi



*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi


*‍♂*


Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom