shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nitakuletea shemela, wewe tenaJamaaan uniletee boha shemela
Nitakuletea shemela, wewe tenaJamaaan uniletee boha shemela
MjukuuuuuBabuuuuu
Fanya hivyo shemela wasije wakina jj wakakusahau wakuite babuNarudi mapema leo hii ili wanione, jana sikuwaona kabisa
Lushoto
Nitakuletea shemela, wewe tena



Hivi unalijua lakini shemela au umeitikia tu jamaan nikinywa glass moja nimeshalewaNitakuletea shemela, wewe tena
Mzeewakungoa umzima lakiniMjukuuuuu
2/Star Nosed Mole![]()
![]()
![]()
Hawa nao majanga ni kama wana undugu na Stevie Wonder
Kama picha mnavyomuona hapo puani sijui kaweka nini na inamsaidia nini
Nao hawana uwezo wa kuona na sijajua kama wanaweza kuliona hata tumbo la Le Mutuz japo kidogo tu
.........

Babu jamaan shikamoo nimekumiss nini shida mbona unapotea hivi nanii kakuteka babu yetu halaf kuna mtu nimemkuta siasani anatumia avatar kama yako nilijua wewe kuangalia jina sio babu yanguMjukuuuuu
Aisee, kuna viumbe wa ajabu sana Dunia hii2/Star Nosed Mole![]()
![]()
![]()
Hawa nao majanga ni kama wana undugu na Stevie Wonder
Kama picha mnavyomuona hapo puani sijui kaweka nini na inamsaidia nini
Nao hawana uwezo wa kuona na sijajua kama wanaweza kuliona hata tumbo la Le Mutuz japo kidogo tu
.........
Ni kweli shemela wala haujakoseaMzeewakungoa umzima lakini
Mjuu wako asubuhi amelalamika kuwa kwa nini jana ulitoa like tu, lakini Salam hukumpa
Ni ujumbe tu nimefikisha kutoka kwa mjukuu wako
Yupo atakuja jimena![]()
![]()
Hivi mama mchungaji yuko wapi jamani??
Kila nikiona hizi maneno namkumbuka sana
Nikifika tu nitalijjuaHivi unalijua lakini shemela au umeitikia tu jamaan nikinywa glass moja nimeshalewa
Ila Baba D mbona mmefanana na huyo mbaba jamaan![]()
Shemela hivi lini utaacha uchochezi lakiniBaada ya kutekwa![]()
![]()
![]()
BohaHivi unalijua lakini shemela au umeitikia tu jamaan nikinywa glass moja nimeshalewa
Nimefikisha ujumbe ulionituma leo asubuhiNi kweli shemela wala haujakosea