Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Hapo ni mimi ndio nimeambiwa shemelaShemela shunie binamu yako kanichekesha usiku usiku
Hapo ni mimi ndio nimeambiwa shemelaShemela shunie binamu yako kanichekesha usiku usiku
Aisee, ngoja nione kama yamewekwaShemela shululu naomba magazeti mie kumekucha
Ila binamu wewe jaman Mungu azidi kukuweka tu hujuiPaka chongo akikutana na samaki kirungumpweke yaani utamu kama chapati na karanga
Woiiiiiii.....malaya nani sasa maana unanichanganya, ni wewe, yeye au wote. Maana washika dini tunajuana na wezi wanajuana pia
Babu yako alitaka kujua mjukuu yupi alikuwa anamuuliziaNipo hapa jaman kuna nini tena
Kuna malaya ananizingua kanipigia simu nmemwambia nampenda nae kanijibu nakupenda pia.. mie nmemwambia wee muongo hunipend akauliza kwann nimemwambia km unanipenda kwanin hukuntongoza nmekutongoza mimi.. mimi ndio nakupenda, kakata simu, mie sipendagi mambo ya ajabu ajabu shabashi..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Nzuri kabisa shemejiLeo niko macho habari ya siku nyingi
Sio wewe, ni Madame sHapo ni mimi ndio nimeambiwa shemela
Umeamkaje Baba jj jamanMorning shemela
Nimeamka salama kabisa shemela wangu, vip weweUmeamkaje Baba jj jaman
Naam dadakeeKaka huyooo
Nashukuru shemeji kumbe na wewe huwa unakeshaNzuri kabisa shemeji
Leo usingizi umekata ghafra tu shemejiNashukuru shemeji kumbe na wewe huwa unakesha
Sawa shemeji pole sanaLeo usingizi umekata ghafra tu shemeji
Na ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi 

Kumbe nimewahi hivi basi hakulaliki jamanAisee, ngoja nione kama yamewekwa
Babu ni mimi jamanBabu yako alitaka kujua mjukuu yupi alikuwa anamuulizia
Hapo sawa shemelaSio wewe, ni Madame s
Namshkuru Mungu sana shemelaNimeamka salama kabisa shemela wangu, vip wewe
Umeamkaje lakini kakaNaam dadakee