Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ss hatujazaa badoSio huyu waliyemsema juzi mama jj na baba jj mtoto wenu wewe na binamu
Ss hatujazaa badoSio huyu waliyemsema juzi mama jj na baba jj mtoto wenu wewe na binamu
Sasa yule waliyemsema shemela shululu na mkewe jeSs hatujazaa bado
Kuniteka wapiBaba D shemela shululu huyo eti kasema nimshkuru mtekaji aliyekuteka eti
Si majuzi Baba D uliwaambia umetekwa wakina shemela ulivyopotea jamaan mbona unajisahaulisha tenaKuniteka wapi

Unaenda wapi tena shemela
Mke mweee mamboMzee wa kutekwa habari yakoo
OkSi majuzi Baba D uliwaambia umetekwa wakina shemela ulivyopotea jamaan mbona unajisahaulisha tena![]()
Hawajambo,wamekumic jamani baba watotoZa jioni mke wangu mimi apa, kina JJ wanasemaje
Safi mke mwee za weweMke mweee mambo
Watamsahau baba yaoHawajambo,wamekumic jamani baba watoto
Binamu obe binamu wa faida amewamis sana ila soon atarejea mambo ya kutekwa ..nimekutana nae kajituliza baada ya kutulizwa. ..![]()
unamsingzia obe huyo utakuwa ww na kitambi chako mbonyeo

Kinachokuchekesha nn lakini mke mweee
Karibuu
Nishasahau mke mwee jamaan ebu nikumbusheKinachokuchekesha nn lakini mke mweee
ShikamooooMjukuuuuu
Kweli mke mwee au nimekosea baba kila siku kurudi usiku wa manane watoto wamelala mwisho wa siku watamuona kama babu yao tu