Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Baba D jaman kwahiyo tukae mpaka sa 5Tunalala saa 5

Baba D jaman kwahiyo tukae mpaka sa 5Tunalala saa 5

Shukran Mtumishi nawe pia ucku mwema![]()

Ni nan sasaSio p
Heh, umesahau siku hizi mimi naelewa faster sana kama kuchechemea unapokanyaga mavi

Sawa binamu waambie nawapa hongera mie...anko wangu kawekewa limbwata na aliyemteka juzi, sasa huyu mganga, ni mganga mdada mrembo cheupe kibonge so sana kweli ndo anafanya kulitegua limbwata. Nahisi anaendelea vizuri maana kutwa wako chumbani wanapeana daaawa
Nimrshakuzoea binamu kwa mama safari hakuna pamoja na jana alikuulizia
Umesema queen jaman hiyo wangu nitakua nimeongezea labdaQueen wangu ???
Na wewe pia si unazo binamu alisemaCjui binamu na mjomba wake
Ahhaha yaan umefurahi sanaTeh teh teh teh...![]()
![]()
Ahahha ulitaka kuweka emoji ya niniSipatiii emojiii
Duh!! Huyu kweli ni penisi sineki..1/Penis Snake![]()
![]()
![]()
Siongelei penis inayowapa jeuri akina Side Mnyamwezi wala penis inayowafanya mijimama ipapatikie vijana wadogo na kuhonga
Naiongelea penis nyingine kabisa yenye uwezo wa kusimama na kuuma tofauti na ile inayosimama na kumwaga vitu
Uume huu unaojongea unapatikana Brazil kwenye Mto Amazon yaani ni kama ana undugu na Anaconda ila watafiti wamegundua hyuyu kiuhalisia sio nyoka bali anakaribiana kibaiolojia na Salamander
Kitu kingine cha ajabu ni kwamba hawana mapafu pia
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Ucsahau na zile sare za yangeyange ww na mjomba ako....ujue wewe ndo mtu pekee nayekuamini humu kwa kuwa huwa hunifanyii fitna hata kidogo. Nitakustua unisindikize, ngoja nikamilishe masuala ya mganga wa anko kwanza
Nasikia hadi leo una uzwazwaMie nilikuwa nikiambiwa vaa viatu vizr siwaelew cz mie najiona nmevaa vzur, nikawa nmekremisha hata nikiwa nmevaa vizur mtu akiniambia vaa vizur nabadili kulia naweka kushoto.. ama kweli utoto maji ya barid![]()
![]()
![]()
Wakikausha huyu ni biashara nzur kwa wadada wapenda D I L D O1/Penis Snake![]()
![]()
![]()
Siongelei penis inayowapa jeuri akina Side Mnyamwezi wala penis inayowafanya mijimama ipapatikie vijana wadogo na kuhonga
Naiongelea penis nyingine kabisa yenye uwezo wa kusimama na kuuma tofauti na ile inayosimama na kumwaga vitu
Uume huu unaojongea unapatikana Brazil kwenye Mto Amazon yaani ni kama ana undugu na Anaconda ila watafiti wamegundua hyuyu kiuhalisia sio nyoka bali anakaribiana kibaiolojia na Salamander
Kitu kingine cha ajabu ni kwamba hawana mapafu pia
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Usinile kisogo binamu safari hakuna unaongea hapa mara anko wako yupo ndani katekwa sijui mara watoto kama wanachama wa chadema nina moyonujue binamu...sasa kosa langu ni nini jama?! Usinifanyie hivyo ujue wewe ndo pekee unayenitakia mema humu ndani na unajijua kabisa kuwa mimi na wewe chelea Pina, yaani shega kabisa
Nenda hapo pembeni kuna interview ya DemiKwani Baba D ana anko gani zaidi yako jaman
Nilikuepo huko nimetoka kuna mtu alikua ananitafutia banNenda hapo pembeni kuna interview ya Demi
Kafagilia couple yenu
![]()
![]()
![]()
.....
Huyo demu muhuni sanaNawe ushapuliza bangi zako au sio..
Aliwabeba saana.. ila aliwaponza siku wakala 4~1 kwa liverpool, waliongeza dakika nying utafkr kafa mtu uwanjan, matokeo yake ryan babel akaenda kupiga msumali wa mwishoKwa shabiki yoyote ambae si wa Man u hawezi msahau Web