Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Kwani Baba D ana anko gani zaidi yako jamanAnko yupiiii
Kwani Baba D ana anko gani zaidi yako jamanAnko yupiiii
Mie nilikuwa nikiambiwa vaa viatu vizr siwaelew cz mie najiona nmevaa vzur, nikawa nmekremisha hata nikiwa nmevaa vizur mtu akiniambia vaa vizur nabadili kulia naweka kushoto.. ama kweli utoto maji ya barid

Binamu umeanza ujue nakuona tuu endelea
Hii sio photoshop hii ni photosupermarket
Bhinamu nakusalimia
Upi jamaaanKwenye ubora wako ule ule Baba D
...mpenzi wangu Husna, yaani siku ya alhamis haikamiliki bila kukwambia ILU

binamu ujue nakuwazia tu unavyofanania
Nawe ushapuliza bangi zako au sio..
Nimrshakuzoea binamu kwa mama safari hakuna pamoja na jana alikuuliziaSorry, simu sikuwa nayo Mimi. Imejibonyeza
Saf jiran, mishe ni vip jirani?Nzuri jirani, mambo yanaendaje
Hii kitu kwa litoto langu mtapigana mpaka kuche anavaa mpindulee aka vice versa ila sasa mvue uone vita yake ...Mie nilikuwa nikiambiwa vaa viatu vizr siwaelew cz mie najiona nmevaa vzur, nikawa nmekremisha hata nikiwa nmevaa vizur mtu akiniambia vaa vizur nabadili kulia naweka kushoto.. ama kweli utoto maji ya barid![]()
![]()
![]()
Si hapo binamu yako unamlalamikia kwa kukunyanganya queen wakoUpi jamaaan
Shunie
Nimekupata binamu obe.....nitachoka kukueleza sasa, ufananio wangu kama wa kwenye picha
Za mimi ni poa, sijui za wewe miss shunie.makaveli za wewe
Na mm wako badooo mpyaa.....tusalimiane tu anko, maana hata mimi nina ujumbe wako
Za mimi poa sana makaveliZa mimi ni poa, sijui za wewe miss shunie.