Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Umefanya la maanaNdio mana nimeamua kutoka kabisa kwenye ule uzi
Siku nyingi nilishajiwekea nadhiri ya kutogombana na mtu Jf
Kama ananizingua namkwepa tu ila muda wa malumbano sina bora hata niutumie huo muda na bando kulisha bata
........