shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Najua shemela, ndio maana nikakuita majina yoteAsante shemela wangu mie yote yote yangu hayo
Najua shemela, ndio maana nikakuita majina yoteAsante shemela wangu mie yote yote yangu hayo
Baada ya kutekwaWeee waache ntawapiga makwezi kama yule kiboro dindaz ....
Mimi nshaacha kabisa sitaki kumkera mke wangu nimetulia nimetulizwa sasa hao wanaongea watasema wanayatoa wapi...
Me and only shunie ...nakupendaa jamanii ..

AmenHeri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi, na neema kuliko fedha na dhahabu
Tajiri na masikini hukutana pamoja Bwana ndiye aliyewaumba wote wawili![]()
ZABURI 22:1-2
Muwe na asubuhi iliyo njema mbarikiwe sana![]()
![]()
NdioooSema umemis kumpiga majungu
Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi, na neema kuliko fedha na dhahabu
Tajiri na masikini hukutana pamoja Bwana ndiye aliyewaumba wote wawili![]()
ZABURI 22:1-2
Muwe na asubuhi iliyo njema mbarikiwe sana![]()
![]()
Nilienda kutubuBaada ya kutekwa![]()
![]()
![]()
na watoto wasiobadilishwa nguo hiko cha kwanza kimemfanana mama ake kweli

My loveNdiooo
Morning ankaliMorning family
Vizuri sanaNilienda kutubu
Inanihusu hii
9 wewe niliyekushika toka miisho ya dunia, na kukuita toka pembe zake, nikikuambia, Wewe u mtumishi wangu; nimekuchagua wala sikukutupa;
Isaya 41 :9
10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Isaya 41 :10
11 Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Isaya 41 :11
12 Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
Isaya 41 :12
13 Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.
Isaya 41 :13

Heshima yko Obe nmekumic ujue
I'm fine wifi.... Wapi kaka??Morning, How are you?
Madame S
Sema umemis kumpiga majungu