Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shemela basi jaman umeshakubali nilichoongea kuhusu kumuita baba d mzee wa totoz sijui mzee wa peremende mjue mtamsabisha baba d nimlaze chini endeleeni tu kumuita hivyo
Weee waache ntawapiga makwezi kama yule kiboro dindaz ....

Mimi nshaacha kabisa sitaki kumkera mke wangu nimetulia nimetulizwa sasa hao wanaongea watasema wanayatoa wapi...

Me and only shunie ...nakupendaa jamanii ..
 
Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi, na neema kuliko fedha na dhahabu

Tajiri na masikini hukutana pamoja Bwana ndiye aliyewaumba wote wawili

ZABURI 22:1-2


Muwe na asubuhi iliyo njema mbarikiwe sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom