Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
VP?!Duuh kumbe utani wa humu unawaumiza watu
Jamani hapa ni stress free sio siasa hivyo utani ni kawaida tu
Mfano Husna & Obe ni couple ya humu ila mimi kila siku nataniana na Husna hadi mtu anaweza kuhisi nina uhusiano nae ila la hasha ni utani tu
Hivyo wadau msiwe mnamind mambo madogo tu pia utani wetu unaishia kwenye thread hii tu tukikutana kwingine hatutaniani kivile na kila mtu yupo huru humu au nje ya thread hivyo ya humu huishia humu
Niwatakie Mchana Mwema
..........
Kuna something happened??!!
We mi nakupendea hizo supu za bata tu ila moyo wangu uko kwa obe
N.b kesho chinja bata MTU wangu nitakuja kumtengeneza
