Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
OopsI know my love..
Najua sana! Your feeling is always my feeling..
I'm speeches...
OopsI know my love..
Najua sana! Your feeling is always my feeling..
Karibu au ulijtekaNilikuwa porini... Nimerudi mjukuu mwee Usijali..

Kwema kabisa, hawajambo wanetu?Shemela kwema
Atarudi salama saliminiNinawaaminiarudi kama atakavyoondoka
Madame S
Hayo mengine ni yako babu mtu mimi sikuona hayo matusiHujaliona hapo kwenye hizo msg? My........ Mimi siwezi kumalizia bhana.
Katika ubora wakeMrs.Nyagei huyooo
Umeanza na N kisha nukta dada tafadhaliUnajua wewe ndo uko ndani ya mtima wa N.... Love you more
Aisee nitakusemea ujue kwa mamaHahaha
Hizooo zako ni kombolela mdogo wangu
Rihanna - Te amoTe amo mi amor..
![]()
Rihanna - Te amoTe amo mi amor..
![]()
I know my love..
Najua sana! Your feeling is always my feeling..
Usikohoe tuKoh koh koh...
Shkamoo dada Husna
Umenena tozi wa joto cityDuuh kumbe utani wa humu unawaumiza watu
Jamani hapa ni stress free sio siasa hivyo utani ni kawaida tu
Mfano Husna & Obe ni couple ya humu ila mimi kila siku nataniana na Husna hadi mtu anaweza kuhisi nina uhusiano nae ila la hasha ni utani tu
Hivyo wadau msiwe mnamind mambo madogo tu pia utani wetu unaishia kwenye thread hii tu tukikutana kwingine hatutaniani kivile na kila mtu yupo huru humu au nje ya thread hivyo ya humu huishia humu
Niwatakie Mchana Mwema
..........
Kwani umeona nini Nyagei....Umeanza na N kisha nukta dada tafadhali
N.........
Nisamehe mdogo wangu... Kumbe umekuwa eeeAisee nitakusemea ujue kwa mama
Duuh kumbe utani wa humu unawaumiza watu
Jamani hapa ni stress free sio siasa hivyo utani ni kawaida tu
Mfano Husna & Obe ni couple ya humu ila mimi kila siku nataniana na Husna hadi mtu anaweza kuhisi nina uhusiano nae ila la hasha ni utani tu
Hivyo wadau msiwe mnamind mambo madogo tu pia utani wetu unaishia kwenye thread hii tu tukikutana kwingine hatutaniani kivile na kila mtu yupo huru humu au nje ya thread hivyo ya humu huishia humu
Niwatakie Mchana Mwema
..........
umepambana na hali yako ?Nisamehe mdogo wangu... Kumbe umekuwa eee
Sawa ila imeibua hisia tofautimdau hakuna aliyekwazima ilikuwa changamsha genge
labda kwako mdau ila kwa tuliokuwa tunaendeleza tulikuwa tunajua tunachokifanya ...me and sakayoSawa ila imeibua hisia tofauti
Lengo langu ni kukumbushia tu kwamba humu watu kutaniana ni kawaida tu na kukwazana huwa sio lego letu
Tukutane baadaye
.....