Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mmmh
D mzima sana mke mwee jamanHawajambo mke mweee vp D mzima
Inapatikana wp?Hiki ni chakula ambacho kinaupa mwili wako nguvu na kina virutubisho vingi sana ambavyo hutopenda kuvikosa!
Ina protein nyingi kuliko mayai
Calcium kwa wingi
Iron kuliko spinach
Manganese
Potassium
Vitamin C
Vitamin B1,B2,B3
Omega 3 kwa wingi
Fiber
Faida zake mwilini ni pamoja na
Vegan,
Regulate blood sugar
Anti oxidants
Anti Cancer
Inasaidia kucontrol weight
Matatizo ya moyo
Lower cholesterol
Usagaji wa chakula tumboni
Acts as sleep Aid
Inaboost Libido
Inaupa mwili wako nguvu
Increase Stamina
Inasaidia kukontrol mzunguko wa hedhi
Inasaidia kubalance hormones
Naomba niishie hapa kwa leo mengine unaweza kugoogle vinginevyo tutakesha![]()
![]()
![]()
MwanaFA kwa umbea eti Alikufa kwa ngoma
km aliulizwa vileee huyu kweli shilawadu loh
Ngwair nae anadai She got a gwan
Nimekuona stendi pale ukanikaushiaNdo mambo ya dini hayo
Kugombea ufalme
....
Hujanielewa Mtumishi ni hivii neno uliloweka nimesoma nami nikapenda nikubariki kwa neno hili la zaburi 108:17dumejeuri shika bible yako jaman huo mstari nilioweka sio wa Zaburi
Itafutee hata mi nimeionaaIko wap?
2/Abu Al--Qasim Mu ammad Ibn Abd Allah![]()
![]()
![]()
Aliishi kati ya mwaka 570 hadi 673 na sijui kaburi lake mahali lilipo
Kwawasio waislamu Mtume Muhammad ndio mwanzilishi wa Uislamu ila kwa wenye dini yao wanaamini/wanasema hakuanzisha chochote ....mimi simo wanadai Uislamu ulikuwepo kabla yake
Sasa nafiki ushaelewa maana ya Allah Akbar
Ameabdikwa kwenye vitabu kibao idadi haijulikani
Anatafutwa kwa mwezi X 14,000,000 ila hata kapicha hakuna!!
.......
ALLAH AKBAR1/Jesus of Nazareth![]()
![]()
![]()
Aliishi kati ya mwaka 5BC hadi 28 AD Ila wafuasi wake wbado qanaamini yupo hai mbinguni sasa sijui kama keshazeeka au lah
Alizaliwa na Bikira Maria kwa uwezo wa Roho Mtakatifu {kama wewe unahisi alizaliwa kama wewe ilivyotokea kwa wazazi wako mimi sijasema hivyo)
Pamoja na kuishi bila shari na mtu akasalitiwa na bwana Yuda Eskariote na wenzake wachache kisha Pilato akavuta mlungula na kutoa hukumu ya kidwanzi halafu akasulubiwa akafa kisha akapaa mbinguni
Hivyo ukisalitiwa na rafiki/ndugu/mpenzi wako usiwaze sana kumbuka hata Yesu yalimkuta pamoja na kufanya mazuri kwa 100%
Ameandikwa kwenye vitabu visivyo na idadi
Anatafutwa X 25,000,000 na ushee kwa mwezi
.
.
.
.
.
.
.
Samahani kwa niliowakwaza kwa mada ya leo najua nimekorofisha imani za wstu maana ilikuwa hakuna namna
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Niwatakie Usiku Mwema
Mwisho
........
