Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Siddhartha Gautama
435750e358ef7eb509ebd1502ca5faa8.jpg
d875a4f5e33bdb22680d10bdd1d28783.jpg
1054d6f3fbd969ed3607e1533e4988e1.jpg

Aliishi kuanzia mwaka 563C hadi mwaka 483 AD
Huyu ni maarufu zaidi kwa J na la Buddha yaani kwa Wabudha jamaa kwao ni kama Yesu Kristo vile(mimi siijui vizuri hii dini ila nasikia jamaa huwa hawavhinji mnyama kabisa labda tu wakose kabisa vitu vya kula)
Jamaa kazaliwa kwenye ile nchi isiyo na bendera ya mstatili Nepal
Jamaa alikuwa ni mpiga mazoezi na mweneza imani mkubwa ya kuwafumbua watu....huyu ndo mfalme wa mediation ukimsikia mwingine much know basi ni fekelo
Jamaa kawahi kupiga mediation ya siku 49 ambayo hadi leo inafahamika kama Noble Eightfold Path duniani kwa ujumla
Supreme buddha anfuatiliwa/abudiwa zaidi na Wahindu wavaa mashuka kama Masai vile mfano Mahatma Gandhi

Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 7,000,000

Anatafutwa X 4,000,000 na ushee kwa mwezi
......
 
4/Moses
7bc7d0ea6307edb261c3056039a913a8.jpg
c77786c36084498ca3fbb82fb0191db5.jpg
691d7ab2447f0d7f9bd4ea4f20ecc594.jpg

Huyu ndo Musa
Aliishi kati ya mwaka 1300C hadi mwaka 1080 BC
Unaambiwa Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni mimi ukinipa biblia sehemu yangu ya kwanza kuitafuta ni Musa tu napenda stori yake na firauni kupitiliza
Huyu anaabudiwa/tukuzwa na Uislamu pamoja na Ukristo hivyo hafungamani na dini yoyote ndio maana jona la MUSA ni la Waislamu kwa Wakristo
Jamaa ndio kama Mwanzilishi wa Uyahudi na yale mambo ya kanaani na Misri ndo muhusika
Kaandikwa kwenye vitabu 8,000,000

Anatafutwa X 3,000,000 na ushee kwa nwezi
...
 
Budha alikuwa akijinyima sana ili maskini wapate
Na alifikia hatua akaondoka kwao kwenda kuishi msituni ili kujipa mateso kama wengine walivyokuwa wakiteseka
Kwao walikuwa matajiri lakini aliondoka kwao ili kuzoea shida

Ni mtu mpole sana na mpenda watu maskini na waliokuwa wanateseka

Alikuwa sio mgonvi na alikuwa mpenda amani

Namkubali sana

Kuhusu kumwabudu hiyo ni imani za watu tuwaachie wenyewe wabuddha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom