5/
Siddhartha Gautama
Aliishi kuanzia mwaka 563C hadi mwaka 483 AD
Huyu ni maarufu zaidi kwa J na la
Buddha yaani kwa Wabudha jamaa kwao ni kama Yesu Kristo vile(mimi siijui vizuri hii dini ila nasikia jamaa huwa hawavhinji mnyama kabisa labda tu wakose kabisa vitu vya kula)
Jamaa kazaliwa kwenye ile nchi isiyo na bendera ya mstatili
Nepal
Jamaa alikuwa ni mpiga mazoezi na mweneza imani mkubwa ya kuwafumbua watu....huyu ndo mfalme wa
mediation ukimsikia mwingine much know basi ni fekelo
Jamaa kawahi kupiga mediation ya siku 49 ambayo hadi leo inafahamika kama
Noble Eightfold Path duniani kwa ujumla
Supreme buddha anfuatiliwa/abudiwa zaidi na Wahindu wavaa mashuka kama Masai vile mfano Mahatma Gandhi
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 7,000,000
Anatafutwa X 4,000,000 na ushee kwa mwezi
......