Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Safi sana shemela wangu mie za weweShemela za jioni
Safi sana shemela wangu mie za weweShemela za jioni
Yaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemelaPamoja na kitambi chake
Namzingua tuKitabu huyo
Pamoja mdauAsante kwa kumi kubwa za leo bitoz
Ye akuje tu aniwekee nyimbo ninayoitaka aendelee na mambo yake shemelaYupo kwa mpendwa wake
Nawe piaTukutane kesho
Usiku Mwema
..........
Nzuri kabisa shemela wa mimi apaSafi sana shemela wangu mie za wewe
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Yaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemela
Vibonge kwa vibonge [emoji4][emoji4][emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Naona upo kimyaYaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemela
Mamaa wa viporo kafikaBata na mbuzi mbona hujataja?
Ni mtazamo wako tu uwe na AmaniNaona upo kimya
Au nimegusa imani yako
Naheshimu imani za watu
Lengo halikuwa kukwaza mtu
Porezea bhana
.....
[emoji120] [emoji120]D mzima sana mke mwee jaman
Ohh my God ni muhimu ujumbe ufike ni 118:17dumejeuri jaman mbona 108 hamna mstari wa 17 mwisho ni mstari wa 13 ila Asante jaman ubarikiwe
[emoji120] asante sana dumejeuri barikiwa sanaOhh my God ni muhimu ujumbe ufike ni 118:17
Na kwako piaSawa basi
Usiku Mwema
.....
17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.dumejeuri jaman mbona 108 hamna mstari wa 17 mwisho ni mstari wa 13 ila Asante jaman ubarikiwe