Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Safi sana shemela wangu mie za weweShemela za jioni
Safi sana shemela wangu mie za weweShemela za jioni
Yaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemelaPamoja na kitambi chake
Namzingua tuKitabu huyo
Pamoja mdauAsante kwa kumi kubwa za leo bitoz
Ye akuje tu aniwekee nyimbo ninayoitaka aendelee na mambo yake shemelaYupo kwa mpendwa wake
Nawe piaTukutane kesho
Usiku Mwema
..........
Nzuri kabisa shemela wa mimi apaSafi sana shemela wangu mie za wewe
Yaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemela

Naona upo kimyaYaan hiko kitambi chake ndio nazidi kumpenda Baba D jaman nikikilalia pale juu acha tu shemela
Mamaa wa viporo kafikaBata na mbuzi mbona hujataja?
Ni mtazamo wako tu uwe na AmaniNaona upo kimya
Au nimegusa imani yako
Naheshimu imani za watu
Lengo halikuwa kukwaza mtu
Porezea bhana
.....
Ohh my God ni muhimu ujumbe ufike ni 118:17dumejeuri jaman mbona 108 hamna mstari wa 17 mwisho ni mstari wa 13 ila Asante jaman ubarikiwe
Ee Mungu wa sifa zangu usinyamaze

Ohh my God ni muhimu ujumbe ufike ni 118:17
asante sana dumejeuri barikiwa sana
Na kwako piaSawa basi
Usiku Mwema
.....
17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.dumejeuri jaman mbona 108 hamna mstari wa 17 mwisho ni mstari wa 13 ila Asante jaman ubarikiwe