Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Sir Isaac Newton
adcd77e3fe811c86db80555837d376aa.jpg
e7f0c732cc89c713d692100ea16602f6.jpg
b52ee3ec548e9584ae8061b430e24dff.jpg

Alizaliwa mwaka 1642 na kufariki dunia mwaka 1727
Kama ulisoma sayansi walau kidato cha pili tu halafu humjui huyu mtu basi ulienda shule kusomea ujinga badala ya kuondoa ujinga
Ameandikwa kwebye vitabu karibia 500,000 na inakadiriwa umaarufu wake hautaweza kupitwa na mtu landa baada ya miaka zaidi ya 250
Jamaa ni mfalme wa Mechanical Physics na umaarifu wake mkubwa upo kwenye Newton's Law of Motion wala sikusimulii inasemaje kama ulikimbia umande shauri yako
Pia jamaa ni noma linapokuja suala la Principles of Natural Philosophy

Kwa mwezi anafuatiliwa (searched) na watu zaidi ya 2,000,000
..........
Namkubali mno huyu mwanasayansi
Na yule wanamwita galilei sijui kama sijakosea
 
8/William Shakespeare
840d844def5edf97fa765ff90e2d3814.jpg
01acf47c391211189b47912e5cd5d9d8.jpg
80e8a70e2180c10c5a68840955b5dd29.jpg

Ni Mwingereza aliyezaliwa mwaka 1564 na kufariki dunia mwaka 1616
Hiyu mtu ana mchango mkubwa kwenye lugha ya Kiingereza...kama leo ukiongea kimombo na kujiona bonge la mjanha basi elewa tu lugha ni kama umeletewa tu na huyu mtu basi pinguza mbwembwe
Ndo mwasisi amwa misemo kama vile:
Food for the gods
It's all Greek to me
All that glitters is not gold
By love
All is well

N.k
Katajwa kwenye vitabu zaidi ya 1,000,000

Anafuatiliwa mara 7,500,000 kwa mwezi
......
 
9/Leonardo di ser Piero da Vinci
494cb6b7723353dbea44cf1d82befb56.jpg
6c8ce92b946a33003b4eb72bc60ce0af.jpg

Alizaliwa mwaka 1452 na kufariki dunia mwaka 1519
Huyu jamaa hapendwi kabisa na wakristo kutokana na baadhi ya Code Pictures kuhusu kanisa na mambo mbalimbali ambazo zinajikita kwenye kutoboa siri ya mambo yaliyojificha
Japo hapendwi ila yeye ndo aliyetuchorea sura ya bwana Yesu tunayoiabudu makanisani kwani baada ya kuichora ndio wakatafutwa watu wanaofanana nayo na kuigiza filamu za Yesu na hata picha za vitabuni
4c82f3445c7eaec3085a24ac68d01ad7.jpg
Jamaa pia ana mchoro wa The last super ambao una code zinazoonesha Yesu alikuwa na demu
7fc6f431811245f9bf704a0c0774aa84.jpg

Vipi juhusu Monalisa ?...kuna asiye hujua?
Ila jamaa anadaiwa alikuwa shoga
Kaandikwa kwenye vitabu zaidi ya 6,000,000

Kwa mwezi anatafutwa zaidi ya X 4,000,000
......
Nafikiri hata yeye alichora kwa kukisia tu siku zote ukimsoma mtu hata kama hukuwai kumuona unaweza kumchora uhalisia wake

Mimi binafsi sura ya Yesu sijui na wala sidhani kama kuna alieiona
 
7/Adolf Hitler
242ac72cbe464935b80ae871bf0aba57.jpg
375701326b919c4aa271950585061be6.jpg

Alizaliwa mwaka 1889 na kufariki/kujiua mwaka 1945 baada ya kushindwa WW2
Achana na vidikteta uchwara huyu ndio baba wa madikteta wote duniani...babe wa wababe
Achana na mabaya yake yote kama unaziona gari za Volkswagen basi elewa mwanzilishi ni yeye msana alitaka kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli
15ef30f052736ca5728fbedc48e54c92.jpg

Anskumbukwa kwa kunyanyasa na kuua mamilioni ya Wayahudi ila mimi nafikiri aliona mbali na kuhisi wataitawala dunia kutokana na IQ zao kubwa hata leo kila mtu anaona Wayahudi walivyo tishio kiuchumi,kiteknolojia hata kisiasa ni shida tupu
Alikuwa swahiba mkubwa wa Benito Mussolini na wote walikufa 1945 baada ya kushindwa vita
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 200,000

Kwa mwezi anatafutwa X 6,500,000
.......
 
Nafikiri hata yeye alichora kwa kukisia tu siku zote ukimsoma mtu hata kama hukuwai kumuona unaweza kumchora uhalisia wake

Mimi binafsi sura ya Yesu sijui na wala sidhani kama kuna alieiona
Huyo ni noma karibu ila kitu kikuu yupo alikuwa na vipaji vingi balaa

Kuhuau sura ya Yesu ni Fumbo la imani kila mtu aamini anachoamini ilimradi asivunje sheria

....
 
7/Adolf Hitler
242ac72cbe464935b80ae871bf0aba57.jpg
375701326b919c4aa271950585061be6.jpg

Alizaliwa mwaka 1889 na kufariki/kujiua mwaka 1945 baada ya kushindwa WW2
Achana na vidikteta uchwara huyu ndio baba wa madikteta wote duniani...babe wa wababe
Achana na mabaya yake yote kama unaziona gari za Volkswagen basi elewa mwanzilishi ni yeye msana alitaka kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli
15ef30f052736ca5728fbedc48e54c92.jpg

Anskumbukwa kwa kunyanyasa na kuua mamilioni ya Wayahudi ila mimi nafikiri aliona mbali na kuhisi wataitawala dunia kutokana na IQ zao kubwa hata leo kila mtu anaona Wayahudi walivyo tishio kiuchumi,kiteknolojia hata kisiasa ni shida tupu
Alikuwa swahiba mkubwa wa Benito Mussolini na wote walikufa 1945 baada ya kushindwa vita
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 200,000

Kwa mwezi anatafutwa X 6,500,000
.......
Alikuwa na roho mbaya kuwahi kutokea
 
6/Paul The Apostle of Tarsus
e29c0db4c11339ac7f1c70773115daa5.jpg
f2b01f44bb6a2189b15aa7c6f9ec3bde.jpg
5e4345de3e2b93fc85a7ab5a3b93ec0b.jpg
Alizaliwa mwaka 5C na kufa 67 AD
Kwa Wakristo anajulikana kama Mtume Paulo na ndiye mtume aliyeipigania dini kwa kuweka miongozo na kanuni tunazozifuata hadi hii leo
Msishangae kwa Wakatoliki jina Paulo ni maarufu hata kwa Mapapa linapendwa zaidi
Alitoa barua/waraka 13 kwa wakristo wa madhebu yote hivyo makanisa yote yanamfahamu huyu mtu
Anajulikana kwa wakristo kama mtu wa kwanza kujua kuandika
Kaandikwa kwenye vitbu takribani 7,000,000

Kwa mwezi anatafuta takribani X 4,000,000
.................... ...
Zitaendelea baadaye
 
Naomba kujua kuhusu chia seeds
Hiki ni chakula ambacho kinaupa mwili wako nguvu na kina virutubisho vingi sana ambavyo hutopenda kuvikosa!
Ina protein nyingi kuliko mayai
Calcium kwa wingi
Iron kuliko spinach
Manganese
Potassium
Vitamin C
Vitamin B1,B2,B3
Omega 3 kwa wingi
Fiber

Faida zake mwilini ni pamoja na
Vegan,
Regulate blood sugar
Anti oxidants
Anti Cancer
Inasaidia kucontrol weight
Matatizo ya moyo
Lower cholesterol
Usagaji wa chakula tumboni
Acts as sleep Aid
Inaboost Libido
Inaupa mwili wako nguvu
Increase Stamina
Inasaidia kukontrol mzunguko wa hedhi
Inasaidia kubalance hormones
Naomba niishie hapa kwa leo mengine unaweza kugoogle vinginevyo tutakesha
 
6/Paul The Apostle of Tarsus
e29c0db4c11339ac7f1c70773115daa5.jpg
f2b01f44bb6a2189b15aa7c6f9ec3bde.jpg
5e4345de3e2b93fc85a7ab5a3b93ec0b.jpg
Alizaliwa mwaka 5C na kufa 67 AD
Kwa Wakristo anajulikana kama Mtume Paulo na ndiye mtume aliyeipigania dini kwa kuweka miongozo na kanuni tunazozifuata hadi hii leo
Msishangae kwa Wakatoliki jina Paulo ni maarufu hata kwa Mapapa linapendwa zaidi
Alitoa barua/waraka 13 kwa wakristo wa madhebu yote hivyo makanisa yote yanamfahamu huyu mtu
Anajulikana kwa wakristo kama mtu wa kwanza kujua kuandika
Kaandikwa kwenye vitbu takribani 7,000,000

Kwa mwezi anatafuta takribani X 4,000,000
.................... ...
Zitaendelea baadaye
Msomi wa wakati huo katika dini la Kiyahudi kabla hajaongoka na kuanza kumhubiri kristo
Alifia kifo dini huko roma
 
Hiki ni chakula ambacho kinaupa mwili wako nguvu na kina virutubisho vingi sana ambavyo hutopenda kuvikosa!
Ina protein nyingi kuliko mayai
Calcium kwa wingi
Iron kuliko spinach
Manganese
Potassium
Vitamin C
Vitamin B1,B2,B3
Omega 3 kwa wingi
Fiber

Faida zake mwilini ni pamoja na
Vegan,
Regulate blood sugar
Anti oxidants
Anti Cancer
Inasaidia kucontrol weight
Matatizo ya moyo
Lower cholesterol
Usagaji wa chakula tumboni
Acts as sleep Aid
Inaboost Libido
Inaupa mwili wako nguvu
Increase Stamina
Inasaidia kukontrol mzunguko wa hedhi
Inasaidia kubalance hormones
Naomba niishie hapa kwa leo mengine unaweza kugoogle vinginevyo tutakesha
Zinapatikana wapi JJ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom