Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mimi ninazo 100g kwa 10,000 diaZinapatikana wapi JJ![]()
![]()
![]()
Karibu sana
Mimi ninazo 100g kwa 10,000 diaZinapatikana wapi JJ![]()
![]()
![]()
Ahsante sn Mtumishi ubarikiwe na neno kutoka zaburi 108:17Ee Bwana umenitetea mateto ya nafsi yangu umeukomboa uhai wangu
Umekuona kudhulumiwa kwangu Ee Bwana unihukumu neno langu![]()
MAOMBOLEZO 3:58-59
Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana![]()
dumejeuri shika bible yako jaman huo mstari nilioweka sio wa ZaburiAhsante sn Mtumishi ubarikiwe na neno kutoka zaburi 108:17
Za mimi poa mke mwee jaman wakina jj nimewamiss jaman wanaendeleajeMke mweee za ww apo
Mama yake alimmweka kwenye kikapu akiwa mchanga na kumficha katika kichaka ili asiuwawe kutokana na amri iliyotolewa kuwa watoto wote wachanga wauwawe4/Moses![]()
![]()
![]()
Huyu ndo Musa
Aliishi kati ya mwaka 1300C hadi mwaka 1080 BC
Unaambiwa Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni mimi ukinipa biblia sehemu angu ya kwanza kuitafuta ni Musa tu napenda stori yake na firauni kupitiliza
Huyu anaabudiwa/tukuzwa na Uislamu pamoja na Ukristo hivyo hafungamani na dini yoyote ndio maana jona la MUSA ni la Waislamu kwa Wakristo
Jamaa ndio kama Mwanzilishi wa Uyahudi na yale mambo ya kanaani na Misri ndo muhusika
Kaandikwa kwenye vitabu 8,000,000
Anatafutwa X 3,000,000 na ushee kwa nwezi
...
Yani huyu jamaa namkubali hadi basi!!5/Siddhartha Gautama![]()
![]()
![]()
Aliishi kuanzia mwaka 563C hadi mwaka 483 AD
Huyu ni maarufu zaidi kwa J na la Buddha yaani kwa Wabudha jamaa kwao ni kama Yesu Kristo vile(mimi siijui vizuri hii dini ila nasikia jamaa huwa hawavhinji mnyama kabisa labda tu wakose kabisa vitu vya kula)
Jamaa kazaliwa kwenye ile nchi isiyo na bendera ya mstatili Nepal
Jamaa alikuwa ni mpiga mazoezi na mweneza imani mkubwa ya kuwafumbua watu....huyu ndo mfalme wa [<℅]mediation[/b] ukimsikia mwingine much know basi ni fekelo
Jamaa kawahi kupiga mediation ya siku 49 ambayo hadi leo inafahamika kama Noble Eightfold Path duniani kwa ujumla
Supreme buddha anfuatiliwa/abudiwa zaidi na Wahindu wavaa mashuka kama Masai vile mfano Mahatma Gandhi
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 7,000,000
Anatafutwa X 4,000,000 na ushee kwa mwezi
......
Kwenu hakuna tv?Mbona hatukujui
![]()
![]()
![]()
.....
Iko wap?Mbona ipo
.....
Thanks, you are blessed too.be blessed fakalava
Hawajambo mke mweee vp D mzimaZa mimi poa mke mwee jaman wakina jj nimewamiss jaman wanaendeleaje
Sio vyote hakuna
Nikiwa nipo na Linamo mbona eternal life hapo kiroho safi

Bata na mbuzi mbona hujataja?Nina baiskeli moja na mapapai saba
![]()
![]()
![]()
Mimi mzima
....