Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Abraham
38fdaa931e99e4fe0e7434d7a083f0e6.jpg
865e5bd53f930501f9a65b79427bf03e.jpg
64a737397668c10337d818c89a702d24.jpg
Aliishi kati ya mwaka 1812C hadi 1537 BC
Achana na Abraham Lincoln hapa namzungumzia Abraham orijino
kuna tofauti kati ya Abraham na Ibrahim? Nafikiri ni sawa tu na Hasheem na Hashim au Hashimu
Abraham anajulikana zaidi kama Nabii Ibrahimu na Wakristo kwa Waislamu wanamfahamu
Anaaminika ndiye mtu wa kwanza wa Masharuki ya kati kuamini katika uwepo wa Mungu mmoja
Ameandikwa kwenye vitabu takribani 2,000,000

Anatafutwa zaidi ya X 10,000,000 kwa mwezi
.....
 
4/Moses
7bc7d0ea6307edb261c3056039a913a8.jpg
c77786c36084498ca3fbb82fb0191db5.jpg
691d7ab2447f0d7f9bd4ea4f20ecc594.jpg

Huyu ndo Musa
Aliishi kati ya mwaka 1300C hadi mwaka 1080 BC
Unaambiwa Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni mimi ukinipa biblia sehemu angu ya kwanza kuitafuta ni Musa tu napenda stori yake na firauni kupitiliza
Huyu anaabudiwa/tukuzwa na Uislamu pamoja na Ukristo hivyo hafungamani na dini yoyote ndio maana jona la MUSA ni la Waislamu kwa Wakristo
Jamaa ndio kama Mwanzilishi wa Uyahudi na yale mambo ya kanaani na Misri ndo muhusika
Kaandikwa kwenye vitabu 8,000,000

Anatafutwa X 3,000,000 na ushee kwa nwezi
...
Mama yake alimmweka kwenye kikapu akiwa mchanga na kumficha katika kichaka ili asiuwawe kutokana na amri iliyotolewa kuwa watoto wote wachanga wauwawe
Lakini binti wa Farao aliekuwa akitoka kuoga mtoni alikiona kikapu na kuvutiwa nacho na kumkuta humo
Alimchukua na kumlea katika jumba la kifalme la Misri na alipendwa mno

Historia yake inavutia kwa kweli

Pamoja na kukulia katika jumba la kifalme lakini hakuwahi kujiona Mmisri bali Mwisraeli na pale alipoona ndugu zake wakiteseka ilimuuma sana
Na hiki ndio kisa kilichomfanya kukimbia Misri na kwenda nchi ya wamidian enzi za ujana wake
Kabla Mungu hajamtuma tena Misri kuwakomboa Waisraeli wenzake

Nina mengi sana juu yake
 
5/Siddhartha Gautama
435750e358ef7eb509ebd1502ca5faa8.jpg
d875a4f5e33bdb22680d10bdd1d28783.jpg
1054d6f3fbd969ed3607e1533e4988e1.jpg

Aliishi kuanzia mwaka 563C hadi mwaka 483 AD
Huyu ni maarufu zaidi kwa J na la Buddha yaani kwa Wabudha jamaa kwao ni kama Yesu Kristo vile(mimi siijui vizuri hii dini ila nasikia jamaa huwa hawavhinji mnyama kabisa labda tu wakose kabisa vitu vya kula)
Jamaa kazaliwa kwenye ile nchi isiyo na bendera ya mstatili Nepal
Jamaa alikuwa ni mpiga mazoezi na mweneza imani mkubwa ya kuwafumbua watu....huyu ndo mfalme wa [<℅]mediation[/b] ukimsikia mwingine much know basi ni fekelo
Jamaa kawahi kupiga mediation ya siku 49 ambayo hadi leo inafahamika kama Noble Eightfold Path duniani kwa ujumla
Supreme buddha anfuatiliwa/abudiwa zaidi na Wahindu wavaa mashuka kama Masai vile mfano Mahatma Gandhi

Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 7,000,000

Anatafutwa X 4,000,000 na ushee kwa mwezi
......
Yani huyu jamaa namkubali hadi basi!!
Ni moja kati ya watu ambao waliishi katika dunia kwa faida! Mafundisho yake ukiyafuata huwezi hata kuua nzi jinsi utakavyokuwa na upendo wa kweli!
 
2/Abu Al--Qasim Mu Ammad Ibn Abd Allah
bddf0112af04c408b42b2c7d3374853e.jpg
78999669f3d1af55f73cffcac79987f7.jpg
65cba458e3cfc6b06f3154c78e9bc912.jpg

Aliishi kati ya mwaka 570 hadi 673 na sijui kaburi lake mahali lilipo
Kwawasio waislamu Mtume Muhammad ndio mwanzilishi wa Uislamu ila kwa wenye dini yao wanaamini/wanasema hakuanzisha chochote ....mimi simo wanadai Uislamu ulikuwepo kabla yake
Sasa nafiki ushaelewa maana ya Allah Akbar
Ameabdikwa kwenye vitabu kibao idadi haijulikani

Anatafutwa kwa mwezi X 14,000,000 ila hata kapicha hakuna!!
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom