Leo katika Historia
1945 - Mji wa Hiroshima huko Japan, walipuliwa na bomu la atomic lililojulikana kama " Little Boy " ambalo liliua watu takribani 170,000 hapohapo na wengineo walifariki zaidi baadae kutokana na mionzi ya sumu.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza bomu la atomiki kutumika Duniani katika Vita kuu ya Pili ya Dunia, na lilileta madhara makubwa sana mpaka leo.
Mke mwee me na husna hatuitaki na mondray tumemwambia amalizie ile ya mwanzo kwanza ikiisha ndio atuwekee hii![]()
![]()
hyo hutaki mke mweee
Hapo sasa ndo faida ya kuzaa mapema kama sio bahati ni nn ...mm D bado mamake sijui alimzaa amepiga vitu vyake make nakumbuka siku ya uchungu nilikuta chupa kama za safari lager ...make akili zake huyu kama zinajichajiii....sasa ngoja awe wa kwanza kutoka mwishoHawa watoto waache tu, eti P anataka ipad, nikamwambia asiwe wa kwanza wala wa mwisho darasani, halafu anitajie majina ya wakuu wa mikoa, wa wilaya zote na majina ya mikoa yote nchini. Hili ni zoezi endelevu
Shunie lee niandike nn ujue nimekumisHii story ya mr x unaweza ukaiwazia vilee badae baba d anaweza badili gear angani baba d asante sana
Swty wangu mie nipo mm nakumis tu ...Baba D nakusalimia tu mimi jaman
Shemela wa mimi apa za kwakoHii story ya mr x unaweza ukaiwazia vilee badae baba d anaweza badili gear angani baba d asante sana
Ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa

Karibu tena mkuuDuh!! Ndugu zangu mpoo mnaendeleza kurudumu.. hongeren sana kapukuz wenzangu, wapi jimena, wapi bitoz, shululu, quigley, mussolin, baily chwiti pie na wengine kibao mc u mnoo guyz...
Once a kapuku alwayz kapuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante auntNa kufikia hapo basi sina la ziada,
Kwa Udhamini mkubwa wa Majonzi ya Hiroshima niite Jimena Jimenes, tukutane kesho tena.
Bye
Asante mpenzi wangu, haya mambo unapozeeka yaani ndo unakuwa kama wacheza kungfu! Bruce lee na umwamba wake hakuitwa master

Asantee mama angu kipenziiii...Ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa
Kwa maana kila aombaye hupokea naye atafutaye huona naye abishaye atafunguliwa![]()
MATHAYO:7:7-8
Kuna nguvu kwenye maombi usiache kuomba au kukata tamaa kwa nini Mungu hakujibu atakujibu tu anakusikia kwa kila kitu unachomwambia na usiache kumwambia Mungu asante kwa kila anachokutendea
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema na jumapili njema![]()
Leo katika Historia
1960 - Baada ya Mapinduzi ya Cuba kukamilka, Serikali mpya iliyoongozwa na Fidel Castro yataifisha mali zote za zilizoachwa na Marekani nchini humo na kuwa mali za umma.
Hapo sasa ndo faida ya kuzaa mapema kama sio bahati ni nn ...mm D bado mamake sijui alimzaa amepiga vitu vyake make nakumbuka siku ya uchungu nilikuta chupa kama za safari lager ...make akili zake huyu kama zinajichajiii....sasa ngoja awe wa kwanza kutoka mwisho

Me zaidi Baba D jaman nakumiss tu kila mda binamu sijui kama ataniwekea hiyo nyimbo baba dShunie lee niandike nn ujue nimekumis
Nakupenda jamaaaniiiii...
Binamu ngoja akuwekee perfect combo ya joh makin
Mama D we si unamuona ...akili za baba au mama ??
Safi shemela wangu mie baba jj mwenyewe za wewe wakina jj na mama yao jeShemela wa mimi apa za kwako