Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi hapa anko niko macho! Au nimechelewa kujibu? Si unajua mimi ninakuwaga wa mwisho kujibu
Heshima kwako binamu wee kila siku kama sio wa mwisho kujibu bhas wa mwisho kuona kwani yule Joy ulimwona mapema pasipo kuoneshwa mwishowe ukamuelewaa pasipo kuelewaana ..

Sikumtuma D akupe ujumbe japo na wewe sijui P alipotea njia ??
 
Leo katika Historia

1945 - Mji wa Hiroshima huko Japan, walipuliwa na bomu la atomic lililojulikana kama " Little Boy " ambalo liliua watu takribani 170,000 hapohapo na wengineo walifariki zaidi baadae kutokana na mionzi ya sumu.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza bomu la atomiki kutumika Duniani katika Vita kuu ya Pili ya Dunia, na lilileta madhara makubwa sana mpaka leo.
Hiroshima na Nagasaki, liliathili hadi kizazi cha watu wa Japanese
 
Heshima kwako binamu wee kila siku kama sio wa mwisho kujibu bhas wa mwisho kuona kwani yule Joy ulimwona mapema pasipo kuoneshwa mwishowe ukamuelewaa pasipo kuelewaana ..

Sikumtuma D akupe ujumbe japo na wewe sijui P alipotea njia ??


Hawa watoto waache tu, eti P anataka ipad, nikamwambia asiwe wa kwanza wala wa mwisho darasani, halafu anitajie majina ya wakuu wa mikoa, wa wilaya zote na majina ya mikoa yote nchini. Hili ni zoezi endelevu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom