Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170806-WA0007.jpg
 
Leo katika Historia

1945 - Mji wa Hiroshima huko Japan, walipuliwa na bomu la atomic lililojulikana kama " Little Boy " ambalo liliua watu takribani 170,000 hapohapo na wengineo walifariki zaidi baadae kutokana na mionzi ya sumu.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza bomu la atomiki kutumika Duniani katika Vita kuu ya Pili ya Dunia, na lilileta madhara makubwa sana mpaka leo.
 
Leo katika Historia

1960 - Baada ya Mapinduzi ya Cuba kukamilka, Serikali mpya iliyoongozwa na Fidel Castro yataifisha mali zote za zilizoachwa na Marekani nchini humo na kuwa mali za umma.
 
Leo katika Historia

1983 - Robin Van Persie (RVP) anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Arsenal, Man Utd pia hucheza timu ya taifa ya Uholanzi.
Katika Ubora wake, alikuwa moto wa kuotea mbali kwenye swala zima la kufumania nyavu.
 
Leo katika Historia:

Ni siku ya " Hiroshima Peace Memorial Ceremony "

Ni siku ya kuwakumbuka wale wote waliopoteza maisha kutokana na bomu la atomiki lililopigwa na Marekani katika vita kuu ya pili ya Dunia huko Jijini Hiroshima nchini Japan.

Marekani sio watu wazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom