makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,420
Leo katika Historia
1991 - Tin Berners- Lee anaanzisha idea yake ya kutumia World Wide Web ( WWW. ) baada ya matumizi ya Internet kuwa ya wazi kwa watu wote huko Marekani.
Umeniharibia mtoto wewe ....
Aliniambia tutangulie angekuja alikua shamba badae akashindwa sababu vijana wake walimvuruga kazi hawafanyi ikabidi arudi nao aende ubungo kuwakatia ticket so alishindwa kuja masikini alikuwa hayupo sawaNa bro ??
Baba D ujue nacheka sana kwa nini lakini jaman unanifanyia hiviUmeniharibia mtoto wewe ....
Nipm apa umeniacha mataaAliniambia tutangulie angekuja alikua shamba badae akashindwa sababu vijana wake walimvuruga kazi hawafanyi ikabidi arudi nao aende ubungo kuwakatia ticket so alishindwa kuja masikini alikuwa hayupo sawa
Duh.. umeamka na kifungh cha mathayo halaf church hujaenda aahh.. vibaya hvyo bibie..![]()
![]()
sijaenda baba d jana nilichelewa kulala si unajua nilienda nyama choma
![]()
![]()
sijaenda baba d jana nilichelewa kulala si unajua nilienda nyama choma
njoo pm
Jamaan nisamehe tu makaveliDuh.. umeamka na kifungh cha mathayo halaf church hujaenda aahh.. vibaya hvyo bibie..![]()
![]()
Nilivyokuwa naisoma ile mathayo nkajua wewe kanisan ndio ulikuwa wa kwanza kabsa, mshka funguo wa mlango alikukuta ww njee..![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Baba DNipm apa umeniacha mataa
Asantee mkuu ningelisema mm leo ningelinuniwaaDuh.. umeamka na kifungh cha mathayo halaf church hujaenda aahh.. vibaya hvyo bibie..![]()
![]()
Nilivyokuwa naisoma ile mathayo nkajua wewe kanisan ndio ulikuwa wa kwanza kabsa, mshka funguo wa mlango alikukuta ww njee..![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Na usiniambiee hujambadirisha kiboxxerBaba D ujue nacheka sana kwa nini lakini jaman unanifanyia hivi
AmenOmbeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa
Kwa maana kila aombaye hupokea naye atafutaye huona naye abishaye atafunguliwa![]()
MATHAYO:7:7-8
Kuna nguvu kwenye maombi usiache kuomba au kukata tamaa kwa nini Mungu hakujibu atakujibu tu anakusikia kwa kila kitu unachomwambia na usiache kumwambia Mungu asante kwa kila anachokutendea
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema na jumapili njema![]()
Ataiweka tu, usihofu shemelaMe zaidi Baba D jaman nakumiss tu kila mda binamu sijui kama ataniwekea hiyo nyimbo baba d
Baba wa mbingun amepokea msamaha wako..Jamaan nisamehe tu makaveli
Nzuri kabisa shemela wa mimiSafi shemela wangu mie baba jj mwenyewe za wewe wakina jj na mama yao je
Teh teh teh, na ... ... usingepata..Asantee mkuu ningelisema mm leo ningelinuniwaa
Lushoto moja hiyoWewe umenipa nn lakinii
DuhNoooooooo za mama...kwanza pua yako ...masikioo yetu macho ya babu