Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante shemeji ila ndo watu tunategemea watuvushe vijana tufike hadi hatua ya kujiajiri kama watalamu nilio pata nafasi ya kutembelea mabanda yao nimesikitika maana Maelezo yao ni ngumu kutuvusha tunapo takiwa kufika

Nimefika hadi banda shirika moja la serikali wananipa majibu ya kukalili badala ya kunipa majibu ya swali walilo ulizwa
Tuna kazi kubwa sana, wenzetu wmebobea sana kwenye tafiti, lakini sua tu mtu anamaliza chuo hajui ubora wa udongo wa Tanga na iringa, ni masikitiko sana
 
Mpendwa wa Obe anaruka miondoko ya kiafrica



ha hahahahaha! Asante mdau, nimeipenda hii ngoma! Huyu dada zile mambo nazopendaga zinakaa mubashara kabisa


603db088bfc439746087637584a11833.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom