Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo siku ya Beer Duniani..

028b7ce3983766da9da2554c4ad1d8af.jpg


f85f02905b1efdec298c77240242e1f9.jpg
Usisherehekee wewe unatumia wine
 
TOP TEN MSHTUKO.

Kila ijumaa ya kwanza ya mwezi August huwa siku ya beer ya kimataifa. Hii siku imeanza kusherekewa tokea mwaka 2007 kwa kutambua mchango wa watumiaji wa beer katika uchumi wa dunia.

Kufikia mwaka 2020 mauzo ya beer yanategemewa kufikia usd 688.4 billion sawa na Tsh. 1,535,132,000,000,000.00, yaani zaidi ya trilion Elfu Moja na miatano.

sasa leo kwa mshtuko naleta zile beer 10 bora, je kama wewe ni mdau beer yako imetokea? most selling beer in the world.
Tanzania ni safari
 
1/Jerry Seinfrld
fa9efd6cf6bc95d6db8132dcadd6f7be.jpg
3805b46a7196d014a9d498e2a0c3a7be.jpg
ana umri wa miaka 64
Ukiangalia filamu zake unaweza kufikiri ni kubwa jinga tu kama Le Mutuz ila elewa ni maogizo tu na ndo kazi inayomweka mjinii
79a2c2fac205d5ec1b87a6c9636d91c3.jpg
c962482fa5b135515c79f997f2cd4ccb.jpg

Ana madili kibao

Anatajwa kuwa na utajiri wa USD 850 milion (now ushafika km dola 1 bilioni)
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Shukrani sana mkuu
 
Namba 1,

Snow.

Pamoja na mauzo yake kuwa katika nchi moja, snow ndio bia ya mauzo mengi na maarufu katika sayari hii. hii beer inauzwa nchini china. hii bia unauza ujazo wa 573% duniani toka mwaka 2005. hii beer ina maji sana na corbonate nyingi .

hii beer imekuwa na mauzo makubwa kwa kuwa inauzwa bei ya chini sana.lita moja ya snow inauzwa kwa USD 1 tuu.


Hii bia ina kilevi cha 4.3% tuu.

Asanteni sana wakuu.

mimi sio mzee wa Top Ten ila nimefanya suprise manake mimi nilikuwa mdau wa beer enzi hizooooooo.
Shukrani le boss
 
Asante shemeji ila ndo watu tunategemea watuvushe vijana tufike hadi hatua ya kujiajiri kama watalamu nilio pata nafasi ya kutembelea mabanda yao nimesikitika maana Maelezo yao ni ngumu kutuvusha tunapo takiwa kufika

Nimefika hadi banda shirika moja la serikali wananipa majibu ya kukalili badala ya kunipa majibu ya swali walilo ulizwa
Pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom