Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mguno wangu ni jinsi mnavyoendana kama sisi vile![]()
![]()

wewe na mama jj au yule uliyewaka pic yake usiku mnene ya miguu ile siku 
Mguno wangu ni jinsi mnavyoendana kama sisi vile![]()
![]()

wewe na mama jj au yule uliyewaka pic yake usiku mnene ya miguu ile siku 
Mshusheni mshipa huyoomdauu acha kuchezaa wa wake za watu
Kukujua wewe binamu jaman....wewe ukitambulishwa utataka upige na picha , utasubiri sana kutambulishwa
Karibu shemejiHelloooooo
Na wewe piaMdogo mtu

Tumekumiss naweNimewamiss
....kwani hanijui hadi leo? Huwa hatumii hela za noti? Ile sahihi aingalie vizuri ataniona

Asante shemeji. U mzima wewe?Karibu shemeji
Kaanza lini kukufukuza, hivi unajua Obe mimi ndio nimempokea hapa mjini
Helloooooo

We miss u too cuzooNimewamiss
Unaadimika kama sana cuzooWe miss u too cuzoo
Hi cuzooCuzoo![]()
Ipi tena shemela, hiyo siitambui na siijui kabisawewe na mama jj au yule uliyewaka pic yake usiku mnene ya miguu ile siku
![]()
Acha tu cuzoo shemeji yako lee huyo ananibana sanaUnaadimika kama sana cuzoo
Utanivunjia ndoa ujue MTU gn wewe hujui kula na kipofu?!