Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Leo naona kuna Mndali,Husna na Sakayo wametimba kijiweni....It's good ni watu wa nguvu kwa kuchangamsha jukwaa bila Clkey ambaye ana siku ru za kuvizia,Shunie nae akiibuka patakuwa noma
Sijamsahau na kibabu kinachoitwa vidonge vichungu{Asprin) naona katimba
c79d68ee5793140e69f9d4ab6ac4e7a6.jpg

Hadpa Bongo nawakubali Ben Mtobmwa[] kwahngu ni mwandishi bora wa Riwaya bila kumsahau mzee wal ushairi Shaaban Robertnamwelewa sakgna achana na hadithi feki za Eric Shigongo ni nzuri ila asieleweki mwisho wake
Jwa Afrika nawakubali Wole Soyinka,Ngugi wa Thiong'o bila kumsahau Okot P'bitek

Sasa tuangalie watunzi 10 ambao maandiko yao yalipata mafanokio makubwa duniani either kimauzo au kubadili fikra za watu au pengine vitabu vyao viliweza kuteka watu km mateka vitani

Karibuni
..........

Asante Bitoz mambo yangu haya nipo mbele kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom