Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki wa Promota

Ni Jumapili na ninakutakia jumapili njema ambayo kiukweli ni mwanzo wa juma zima la siku tano za kazi kwa wachache wtu na wengi wetu huu ni mwendelezo wa kutumika na kutumika na bora kama tungekuwa tunatumikiana ila ni kutumika kwa kwenda mbele.

Leo tuna promota (unakumbuka ile eti promota anadipu--ha ha ahahahaha, wagosi bhana miss them big time) Shunie anaturusha songi la Martha Mwaipaja. Tuburudike naye


Binamu yangu asante sana jamaan ubarikiwe sana
 
Aisee, nilijua tu maana mtu wa kuniharibia jina langu hauwezi kuwa wewe, lazima atakuwa ni mjomba wangu tu. Asante yaani nilitaka kuchuma dhambi za bure kabisa bila hata kulipa.

Je, na simu ya Tumosa aliishika shululu maana naye kanipiga vijembe vya fitna sana
Binamu kuhusu simu ya tumosa ebu ngoja aje yaan binamu ukiona kwangu umepigwa fitna simu yangu anayo anko wako
 
d89cd732deb462240db69c32d0397730.jpg
 
Aisee, nilijua tu maana mtu wa kuniharibia jina langu hauwezi kuwa wewe, lazima atakuwa ni mjomba wangu tu. Asante yaani nilitaka kuchuma dhambi za bure kabisa bila hata kulipa.

Je, na simu ya Tumosa aliishika shululu maana naye kanipiga vijembe vya fitna sana
Mm naanzaje kukupga vjembe Obe unajua kbsa me npo upande wko labda hawa watoto wamechezea cmu yngu Shululu hawezi fanya hvo
 
Sawa my love

Katika makapuku mimi peke yangu ndo ninayeikubali hii couple yenu kikwelikweli.
Aisee, nilijua tu maana mtu wa kuniharibia jina langu hauwezi kuwa wewe, lazima atakuwa ni mjomba wangu tu. Asante yaani nilitaka kuchuma dhambi za bure kabisa bila hata kulipa.

Je, na simu ya Tumosa aliishika shululu maana naye kanipiga vijembe vya fitna sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom