Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Woyoooooooo watu na wapenzi waoMpenzi wangu usisikize mambo ya pembeni, pambana na hali yetu kwanza. Au unasemaje
Woyoooooooo watu na wapenzi waoMpenzi wangu usisikize mambo ya pembeni, pambana na hali yetu kwanza. Au unasemaje
Au unataka kunikana Baba D ila sishangai hata Yesu alikanwaIla weweeee
Muziki wa Promota
Ni Jumapili na ninakutakia jumapili njema ambayo kiukweli ni mwanzo wa juma zima la siku tano za kazi kwa wachache wtu na wengi wetu huu ni mwendelezo wa kutumika na kutumika na bora kama tungekuwa tunatumikiana ila ni kutumika kwa kwenda mbele.
Leo tuna promota (unakumbuka ile eti promota anadipu--ha ha ahahahaha, wagosi bhana miss them big time) Shunie anaturusha songi la Martha Mwaipaja. Tuburudike naye

Binamu kuhusu simu ya tumosa ebu ngoja aje yaan binamu ukiona kwangu umepigwa fitna simu yangu anayo anko wako
Niambie sasa
Kweliii Baba D unanifanyia hivyoSina neno ...
Ila kumbuka ndo maana nilikwambia tumuandike kwa makapeni
Sawa my loveMpenzi wangu usisikize mambo ya pembeni, pambana na hali yetu kwanza. Au unasemaje

![]()
hakuna namna mpambane tu na hali zenu
![]()
Haya Mjukuu mwee jimwagemwage hapo.
Mm naanzaje kukupga vjembe Obe unajua kbsa me npo upande wko labda hawa watoto wamechezea cmu yngu Shululu hawezi fanya hvo
MmmmmmhBinamu kuhusu simu ya tumosa ebu ngoja aje yaan binamu ukiona kwangu umepigwa fitna simu yangu anayo anko wako
Katika makapuku mimi peke yangu ndo ninayeikubali hii couple yenu kikwelikweli.Sawa my love
![]()
![]()
![]()
![]()
Nafanyajeeee lakiniiKweliii Baba D unanifanyia hivyo
Unataka kumngoa husna nn ??Katika makapuku mimi peke yangu ndo ninayeikubali hii couple yenu kikwelikweli.
Hapo ndo umefurahia au hukuzipenda munibadilishie?
Uliona wapi Land Rover ikavuta semi.... Hapo mtaasisi Obe ndo saizi yake. Au ndo gia zako za kutaka kunipaki pembeni kiaina.Unataka kumngoa husna nn ??

Mm naanzaje kukupga vjembe Obe unajua kbsa me npo upande wko labda hawa watoto wamechezea cmu yngu Shululu hawezi fanya hvo




Baba D unataka nionekane nakusingiziaMmmmmmh