Makapuku Forum

Makapuku Forum

KENYA PREMIER LEAGUE
b475afa0761b1e706d478cf6c0af0456.jpg
 
[HASHTAG]#Kitaifa[/HASHTAG]
Harbinder Seth na Rugemarila wamefikishwa Mahakamani tena leo.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi apewe matibabu kutokana na matatizo ya kiafya yanayomkabili.

Hayo yameelezwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya Seth kudai anahitaji kuwa na nguvu ambayo haitopatikana kama Afya yake itakuwa dhaifu, hivyo ameomba apatiwe matibabu.

Mahakama imetoa kibali ili mshtakiwa huyo apate matibabu na keshi imeahirishwa hadi August 3, 2017 kwa ajili ya kutajwa.
d8192bb3936f89f74628e2ebe2d5580b.jpg
 
Kwa mujibu wa jarida la Forbes, Jeff Bezos ndiye tajiri namba moja duniani kwasasa, akiwa na utajiri wa dola bilioni 90 akimzidi Bill Gates mwenye dola bilioni 89.8

bddfdff9af8d2bf88cb4e8ce2d7ca150.jpg
 
22abcaf730f63f7cd9e0ab43d0c04227.jpg

Sina la ziada katika michezo tukutane baadae kwenye matokeo.

Ibiza kwa wapendanao wekeni booking mkafurahie maisha huko Ibiza beaches.

Mpendwa wa mtaasisi tulime AL ajapitra ili tupate pesa ndefu ya kwenda kufurahia huko maisha na wapendwa wetu.
 
22abcaf730f63f7cd9e0ab43d0c04227.jpg

Sina la ziada katika michezo tukutane baadae kwenye matokeo.

Ibiza kwa wapendanao wekeni booking mkafurahie maisha huko Ibiza beaches.

Mpendwa wa mtaasisi tulime AL ajapitra ili tupate pesa ndefu ya kwenda kufurahia huko maisha na wapendwa wetu.
Shukrani mkuu

Ndio iko wapi hiyo beach?
 
HISTORIA YA CHE GUEVARA:

SEHEMU YA 02:

Baada ya kutoweka kwake baadae ilikuja kugundulika Kua alikua Congo akipigana na LAURENT KABILA dhidi ya wabelgiji.
Hata hivyo hakua peke yake alishirikiana na baadhi ya wapiganaji wa Cuba waliokua Africa. Vita ambayo ilishindikana kwn wabelgiji walikua vzr pamoja na kuangushwa na vibaraka wa Congo

Hali hiyo ilifanya Che akimbilie Tanzania na kukaa maeneo ya karibu na ziwa Tanganyika na baadae akahamia Dare es salam huku akiishi kw kujificha.

Baadae mwaka 1966 alirejea Cuba kw siri kumuunga mkono rafiki yake Fidel Castro na pia kumwona mke wake pamoja na watoto wake . Aliwaachia barua ambayo aliwataka waisome siku baada ya kifo chake. (Alihisi huko alikotaka kwenda sio salama).

Baadae tarehe 3/11/1966 alisafili kutoka Montevideo kwenda Bolivia ktk mji wa LA PAZ kuendekeza harakati zake za kuomba inchi za america ya kusini kutoka ktk mikono ya kibepari.

..Aliingia Bolivia km mfanyabiashara mwenye asiri ya URUGUAY na kutumia jina la uongo la ADOLFO MENA GONZALEZ na hii ilipelekea asijulikane kwasababu alinyoa upara, kuweka mvi za bandia na kunyoa ndevu zake zote.

. Aliweka kambi na baadhi ya wapiganaji wenzake aliowakuta Bolivia maeneo ya milima ya montane dry forest. huko aliunada kikundi kilichoitwa NATIONAL LIBERATION ARMY OF BOLIVIA.

Mnamo mwaka 1967, makachero wa Bolivia wakisaidiwa na CIA ambae akiwakilisha ndugu FELIX RODRIGUEZ waligundua maficho ya Che na kundi lake huko milimani BOLIVIA.

Asubuhi ya October 8 mwaka 1967 wanajeshi takribani 1,800 walizingira maeneo yote ya mlima waliokua wamejificha wakina Che GUEAVARA.
vita ikalindima masaa kadhaa na che alipigwa RISASI za miguu na kukamatwa na wenzake.

Ikumbukwe che alikua na jeshi Soho sana kwasababu raia wengi walikataa kujiunga na jeshi na kuogopa kufa. Waliona bora waendelee kunyonywa wakiwa hai kuliko wakafe wakose vyote uhai na haki yao. Basi hali hiyo ilipelekea wale raia MASHIKAWADU kupeleka taarifa serikalini eti wamelazimishwa kujiunga na kikundi cha Che GUAVARA.

Inasemekana baada ya kuzidiwa na mapigano Yale, Che alisema "" usifyatue RISASI mi ni Che GUEAVARA nina thamani kubwa Kua hai kuliko kunikamata nikiwa nimekufa. ...

ITAENDELEA KM ILIVYOPATIKANA MITANDAONI.......

NB: Huyu jamaa tumekua tukivaa T-shirt zake zenye picha inayomuonesha askari alievaa kofia nyekundu na kombati za jeshi.........
35543f0ebfe4ad3f1c7cffe8e23005a9.jpg
Ahsante mdau
Ni nzuri
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom