Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Endeleza na story basi jaman
# 50HV niliishia namba ngapi?
.....
Endeleza na story basi jaman
# 50HV niliishia namba ngapi?
HISTORIA YA CHE GUEAVARA:
SEHEMU YA TATU:
che Guevara alifungwa kamba na wenzake akakamatwa na kupelekwa kijiji cha LA HIGUERA ambapo baada ya raisi wa BOLIVIA ndugu Rene Barrientos kusikia amekamatwa alitoa amri auawe haraka sana. Wakati huo huo CIA walimtaka apelekwe panama akahojiwe kw kina na salama yake ili asiuawe ilikua apepelekwe MAREKANI japo haikutokea.
Siku moja kabla ya kuuawa alichukuliwq na baadhi ya wanajeshi na kupiga picha ya kumbukumbu na kesho yake ambayo ilikua tarehe 9/10/1967. Aliuawa na askari mmoja aliejitolea kumpiga RISASI sita za kifua na kufa palepale . na huo ndo ukawa mwisho wake akaiaga Dunia akiwa na miaka 39.
Kabla hajapigwa RISASI na askari huyo aliongea maneno yafuatayo.....
Najua umekuja kuniua, nipige RISASI mtu mwoga ww!!!. na ufahamu utakua umeua mwanaume kamili".
Baada ya kifo chake , Guevara alichukuliwa km nguzo ya vuguvugu la kimapinduzi ya jisoshalisti Duniani. picha yake na kofia aina ya BARET aliyopenda kuivaa vimekua km alama za mapinduzi DUNIANI.
....CHE GUEAVARA ktk maisha yake yote alifanikiwa Kua na wake wawili na watoto watano. Ambavyo mke wa kwanza aliitwa HILDA GADEA na alizaanae mtoto mmoja wa kike alieitwa HILFA GUEAVARA aliezaliwa Mnamo mwaka 1956 na kufariki.
Walikua ktk mahusiano kuanzia (1956-1959) waliachana baada ya HILDA kugundua bwana che anatoka na mwanamke mwingine . Hilda aliomba taraka mwenyewe kw wivu wa mapenzi na alikuja kufariki 1974. Miaka 52. hapo mke wa pili wa che Guevara alikuja Kua mchepuko wake huyo.
Mke wake wa pili yaani yule aliekua mchepuko hapo mwanzo aliitwa ALEIDA MARCH kuanzia 1959 mpaka che GUEAVARA anauawa. Wakiwa wamezaa watoto wanne waitwao ALEIDA(1960)CAMILA(1962), CELIA(1963)na ERNESTO(1965).
kuna baadhi ya source zinasema anawatoto zaidi ya watano ambao wengine wanadai wapo Congo na Tanzania .
Ambacho hicho kitu hakina uhakika labda angekuwepo yeye angetuambia ukweli. Ndomana inajulikana alikua anawatoto watano tuu, hao wanaojitokeza kwamba wanawatoto wake watakuja hata siku mie nikifa ila kw sasa Nina LOVENESS pekee.
Kwa ushauri muulize mama yako inawezekana ukawa ww unaesoma hapa ndie mtoto wake . ukibahatika Kua ww muulize mama yako alimpende a nn huyu shujaa Che GUEAVARA kipenzi cha watu Duniani na mpaka kesho usipovaa tishet yenye picha yake utaiona hata Dukani au hapa chini ukimaliza kusoma stori hii.
MWISHO ........kizuri hakidumu Mara zote hupingwa na wenye maslahi yao ..
.![]()
IPO nyingine nishatupia kipande kimoja ya"Dan cooper"Nimependa hapo kwenye red
Ukizipata na zingine utuletee
Ahsante
....
Mimi niligunduaga mapemaHII NDIYO HISTORIA HALISI YA MANENO "SHIKAMOO" NA "MARAHABA."
kuna idadi kubwa ya watu wanatumia neno shikamoo kama sehemu ya kuonyesha heshima au salamu kwa mtu aliyekuzidi umri.
Ila ni muhimu sana tukaelewa maana na historia ya na maneno “Shikamioo” na “Marahaba”. Kama ifahamikavyo kuwa kila jambo huwa na mwanzo na mwanzo huwa na sababu za kufanya hilo jambo kuibuka. Ni hivi kabla ya miaka ya 600 BK au BM, Wabantu walikuwa wameshafika Pwani ya Afrika mashariki. Na ukweli ni kwamba Wabantu walishapata kuishi hapo na hata wageni waliofika walikiri suala hilo. Na kwa kuwa Wabantu walipata kuishi hapo walikuwa na mitindo yao wa maisha na walikuwa wakiheshimiana.
Kikubwa zaidi Wabantu walikuwa na salamu zao. Kwa mfano Wazaramo (historia yao itaandikwa) walikuwa na salamu yao kama ifuatavyo, aliyekuwa akiamkia alionyoosha mikono mbele na kusema “simbamwenee” na kisha anayeamkia huitikia “utwaaa”. Na kila mtu alikuwa akifurahia salamu hiyo, iliyokuwa nzuri kuitamka mdomoni.
Lakini mambo yalibadilika pale walipokuja Waarabu na kuanzisha biashara ya utumwa. Na hapo tukapata makundi mawili yaani “mtumwa” na “bwana” na mtumwa alipaswa kumuamkia Bwana kwa neno la “Nashika Miuu” akiwa na maana ya “Nashika Miguu”. Na kila mtumwa alipaswa kujua na kutambua salamu hii.
Na mtumwa alipaswa kutoa salamu hii hata mara 100 kwa siku moja. Lengo la salamu hii ilikuwa ni kutenganisha kati ya mtumwa na bwana wake.
Kuanzia miaka ya 600-1700, salamu hii ilikuwa ikitumika maeneo ya Pwani tu. Na kuanzia miaka ya 1700 mwishoni na 1800 mwanzoni Waarabu walianza kuingia maeneo ya ndani ya Afrika mashariki. Na kila walipofika salamu hii waliitumia na baadhi ya machifu waliipenda sana salamu hii. Na kujikuta wakiwa na matamshi tofauti juu ya salamu hiyo. Na kwa wakati wote huo ilikuwa ni salamu ilikuwa ni "Nashika Miuu" na sio "Shikamoo" kama ilivyo sasa.
Kutokana na watu tofauti kutumia salamu hii, wapo waliotamka "Shikamuu" kama neno moja. Na mpaka miaka ya 1930, kipindi ambacho Kiswahili kinafanyiwa usanifishaji ndipo tukapata neno "shikamoo."
Na kuhusu neno "Marahaba", lina maana ya "asante". Na neno hili huitikiwa na Yule anaeamkiwa (Bwana) ambaye miguu yake imeshikwa na mtumwa. Na mpaka sasa salamu hii inatumiwa sana na Watanzania wengi licha ya kuwa na salamu zao za kikabila.
Hii ndio historia fupi ya neno "Shikamoo" na "Marahaba".
- Shukrani za pakee ziwafikie "Historia ya Afrika" .
- Kambi Kuu kwa ihsani ya Habari Forums.
Mimi niligunduaga mapema
Huwa tu nasalimia Habari za saa hiz/asubuhi/mchana/jioni/usikui
Asyeridhika basi
![]()
![]()
![]()
....
# 6 sikuwahi kuijuaSTAAJABIKA NA KIM JONG-UN (ALMAARUFU KWA JINA LA KIDUKU) RAIS WA KOREA KASKAZINI.
Kim Jong- un ni mtoto wa tano na wa mwisho katika uzao wa Kim jog-il (raisi wa pili wa Korea Kaskazini).
Kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi hiyo na alichukua cheo hicho baada ya kifo cha baba yake Dec 19, 2011.
Kim jong-un anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wenye msimamo mkali hasa kwa nchi za kimagharibi na hadi sasa ameimarisha nguvu za kinyuklia za korea kaskazini na anainyima usingizi Marekani.
[HASHTAG]#Hebu[/HASHTAG] sasa tuyajue machache yafuatayo
kumuhusu Kim jong-un:
1. Ni general pekee duniani aliyepata cheo hicho bila uzoefu wa kijeshi. Kipaji, akili na kujituma ndo vilimfanya kuwa general licha ya kutokuwa na mafunzo wala uzoefu wowote wa masuala ya kijeshi. Labda ni kwa sababu Kim ni shupavu na jasiri wa kuzaliwa na sio wa kujifunza. Na anapenda zana za kinyuklia kuliko zana nyingne za kijeshi.
2. Pamoja na kuwa kiongozi na mkuu wa nchi, Kim hakusoma shule yoyote nchini Korea kaskazini. Alipelekwa kwa siri nchini
Swirtzerland akiwa mdogo na alisoma Bern
international school ya nchini humo. Mkuu wa shule alimtambulisha darasa la sita A kama Park un na kwamba alikuwa mtoto wa mwanadiplomasia wa korea kaskazini (kwa sababu za kiusalama). Somo alilofaulu vizuri ni mziki lakini alifeli hesabu na sayansi.
3. Anaweza kuwa ndo kiongozi mkubwa wa nchi na mwenye umri mdogo zaidi dunian japo haifahamiki ni lini hasa Kim jong-un alizaliwa. Wapo wanaodai alizaliwa mwaka 1982, wengine 1983, na taarifa nyingne zinasema alizaliwa mwaka 1984.
4. Baba yake, aitwae "KIM Jong-IL" alizaliwa kimiujiza. Taarifa nchini korea kaskazin zinasema Kim jong-il alizaliwa mlima Baekdu, Huu ni mlima wa imani na huabudiwa na wakorea kaskazin.
Wakati, saa na siku aliyozaliwa, nyota mpya ilitokea na kufunika mbingu, ghafla majira yalibadilka kutoka winter kwenda spring na pinde mbili za mvua zilionekana. Japo taarifa kutoka katika kumbukumbu za kisoviet zinasema alizaliwa 1941 katika kijiji cha Vyatskoye huko nchini siberia. Huyu ni baba wa kim jong-un.
5. Alikuwa na uwezo wa kubadili
majira na hali ya hewa, hii ni kwa sababu inadaiwa alikuwa mtu wa miujiza.
6. Akiwa na miaka 27 Kim jong-un alifanyiwa plastic surgery ili kuwa na mwonekano sawa na babu yake Kim II sung. Hii ni kwa sababu Wakorea
kaskazin wengi hawamiliki vyombo vya habari na hivyo wengi hawakuwahi kumuona ila siku walipomuona walimfananisha na hayati kim II
sung na kwa hilo wakatokea kumpenda sana kwakuwa alifanana na babu yake ambaye ndo baba wa taifa wa korea kaskazin na kwao huyu ni Mungu wao na wanaamini yupo nao hadi leo Katika maisha yake ya nje ya uhai.
7. Mwaka 2012, wachina walidai Kim jong-un ni "Sexiest man alive" na kwamba jamaa ni ndoto ya kila mwanamke hapa duniani. Hii ni kutokana na mwonekano wake, ushupavu,, ukarimu, kujiamini pamoja na mvuto wa sura yake ya mviringo.
8. Baba yake alipofariki mwaka 2011 alihakikisha msiba wake unaombolezwa na wakorea kaskazini wote. Ambao hawakujua namna ya kulia, alihakikisha wanayatoa machozi. Ambao hawakushiriki kwa namna moja ama nyingne katika shughuli muhimu za msiba huo
yakiwemo mazishi walihukumiwa kufanya kazi ngumu miezi sita.
9. Alimuhukumu kifo kamanda msaidizi wa jeshi la wananchi kwa kosa la kuhudhuria msiba wa baba yake akiwa amelewa. Amri aliyoitoa ni kwamba " anyongwe na usibaki hata unywele wake".
10. Kim jong-un pia alitoa hukumu ya kifo kwa mjomba wake kwa kile kinachodaiwa kuwa kosa la ubadhilifu wa mali ya umma na harakati za kupindua nchi. Huyu alivuliwa nguo na kutupwa katika banda la mbwa wakali waliomzika katika matumbo yao.
11. Mmoja kati ya marafiki wakuba wa kim jong-un ni nyota wa zaman wa NBA Michael Jordan. Akiwa mwanafunzi, kim alitumia muda wake mwingi kuchora picha za Michael Jordan.
Huyo ndo KIM JONG-UN Rais anayewanyima amani korea kusini na mshirika wake Marekani
na anadai yupo tayari kwa lolote dhidi ya
marekani hasa kwa nguvu za kinyuklia.
Anaendeleza kile walichokiamini babu na baba yake kuwa Marekan ndo adui mkubwa wa Korea kaskazini.
Habari Forums.![]()
Hata Mimi hiyo 6 nilikuwa siijui# 6 sikuwahi kuijua
Siku zote nilifikiri wamefanana tu kiasili![]()
Babu yake
Kim II Sung
....
Jambo jema sana hilo mpendwaNiko poa mydear
Ipo nchini SpainShukrani mkuu
Ndio iko wapi hiyo beach?
Iko popular nowNa ww ushainyaka ee,?
Duu...!Ipo nchini Spain
Ilikuwa Jana tu kumbe! Leo mkuu karudi kwenye namba yakeIko popular now
Umetisha![]()
Sina la ziada katika michezo tukutane baadae kwenye matokeo.
Ibiza kwa wapendanao wekeni booking mkafurahie maisha huko Ibiza beaches.
Mpendwa wa mtaasisi tulime AL ajapitra ili tupate pesa ndefu ya kwenda kufurahia huko maisha na wapendwa wetu.
Huwa sipitwi na stori unazoletaIPO nyingine nishatupia kipande kimoja ya"Dan cooper"
Yes ipo hotel special kwa wapendanaoDuu...!
Amepinduliwa tenaIlikuwa Jana tu kumbe! Leo mkuu karudi kwenye namba yake

Tuko pamojaUmetisha
Sportsman
.....