Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nafikiri juzi hukuwepo
Tulikibaliana kutopiga umbea wala majungu
Yaani kumzungumzia mtu/watu fulani wala thread fulani badala yake tunafanya yanayotuhusu ili kuepusha kukwaza watu maana maisha yenyewe mafupi
Pia tutaonekana hatuna azi za kufanya

Tupambane na ali zetu
Nikutakie siku njema
.........
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
[emoji524] Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu , nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu kwa ajili ya jina lako uniongoze unichunge

Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri maana wewe ndiwe ngome yangu

Mikononi mwako naiweka roho yangu umenikomboa , Ee Bwana Mungu wa kweli [emoji524]
ZABURI:31:1:5


Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema [emoji120]
Amen
 
Back
Top Bottom