Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu , nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu kwa ajili ya jina lako uniongoze unichunge

Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri maana wewe ndiwe ngome yangu

Mikononi mwako naiweka roho yangu umenikomboa , Ee Bwana Mungu wa kweli
ZABURI:31:1:5


Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom