Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kumekucha swalamaaaaaa. ...

Tuendelee na simulizi. ....

('nashukuru nimemchunguza ananipenda na kuniamini kweli, usiwe na wasi tena tuko pamoja')(
yalikuwa ni maneno ya ujumbe mfupi wa kwenye simu aliyokuwa anasoma Kamishna Shebby pindi alipostuka usingizini baada ya alert ya simu ya dk Asha iliyokuwa kitandani kuita na alipogeuka na kumtazama Asha alikuwa bado yupo kwenye usingizi mzito japo ilikuwa tayari ni alfajiri ya saa kumi na moja.
Aliichukua simu na kukuta ulikuwa ni ujumbe uliorudishwa baada ya kushindwa kufika kwa mlengwa na kubaki hewani kwa zaidi ya masaa 24 na alipoamua kuufungua kuona alichokuwa ameandika mchumba wake ndipo alipokutana na hayo maneno ambayo hakujua ni nani aliyekuwa ametumiwa na Asha ujumbe huo kutokana na namba husika kutoseviwa jina.
alianza kuipekua simu ya asha na kuangalia charting za meseji za nyuma lakini hakukuta ujumbe wowote zaidi ya ule ambao ulirudishwa na mtandao husika baada ya kushindwa kumfikia mlengwa.
Muda huo huo Asha nae alizinduka na kumshangaa Kamishna Shebby akiwa bussy na simu yake lakini alibaki anamtazama bila kumstua wala kusema lolote na kugeukia tena upande wa pili na kuendelea kulala.
"ukimaliza baby naomba nimtumie message mama"
aliongea kwa sauti ya kivivu Asha na kumfanya Shebby atabasamu baada ya kujua kumbe Asha alishamuona muda mrefu kuwa anapekua simu yake na ndipo Shebby alipoacha upekuzi zaidi baada ya kuona jinsi Dk Asha alivyokuwa hana wasi hata kidogo kwa kuchezea simu yake na kuamini kuwa hakuna tatizo lolote japo awali alichanganywa kidogo na ile message.
"Eeh! baby harafu kuna message yako imerudishwa"
aliongea Shebby huku akimkumbatia kwa nyuma Asha pale alipolala ubavu na kumpitishia simu yake ambapo Asha alipokea na kuitazama message yenyewe.
"Aaaagh! mamaa naee.. mh! mme wangu na wewe hupitwi?"
"kivipi tena honey"
"sasa hii message ulivyoisoma umeelewa nini?"
"hahahaa Asha my love, message umeandika wewe mimi nitaielewaje wakati sijui hata uliyemtumia nani na mlianzia wapi."
"hehehee Hiloo, oteaa sasa.."
"Mh! nimeshindwa kuotea baby hebu nijuze..!"
"heheheee acha wivu bwana huyu mama"
"MAMA!!"
"Hee! sasa unastuka nini huyu mamaangu na niliongea nae jana na kumpa habari za mahusiano yetu na ndipo aliponiuliza kuwa nina hakika unanipenda kweli? lakini nilimuahidi nitamjibu ndipo baadae nilimtumia hii massege, sasa ajabu ipi..!! sema kabla sijakuvunja mguu tehtehteheee"
aliongea huku akiongezea utani Asha na kugeuka upande ule aliolala Shebby na kutazamana usoni na mwishoe wote waliangua kicheko hasa baada ya Asha kuzungusha zungusha macho yake na Kujitunisha mashavu kama mtu aliyetumbukiza kitu kikubwa zaidi ya uwezo wa mdomo wake.
"ha ha hahaa Dokta mzimaaa kumbe muda mwengine kama kitotoooo hahahahaaaa"
"tokaaa hapaaa hiloo mbona we Polisi zimaaa lakini umeshindwa kuluka mto kitandani umekuwa ovyo hata umeshindwa kuramba asali iliyotelekezwa na nyuki kwa kuhofia guu kuoza aahahahahaaaaa"
"Asha ashaa Ashaa Ashaaaa!!!! Ngoja sasa"
aliongea kamishna Shebby baada ya utani wa Asha kumgusa kidogo na kuanza kumchezea chezea maungo yake raini yaliyofichwa na nguo nyepesi alizovaa usiku.
"ha ha ahaa bwanaaaaniniiiiiii..Niacheee basiiii"
aliongea kwa sauti ya kudeka Asha kipindi hiko Shebby alikuwa serious zaidi baada ya Achumani kichwa wazi kuanza kufurukuta na kututumsha bukta aliyovaa akitaka kutoka akasalimiane na mwajuma mficha asali.

Mchezo wao wa kutekenyana na kubimbilishana kitandani ulidumu kwa zaidi ya dakika arobaini kabla ya wote kujikuta wakiwa kama walivyozaliwa na kuanza kurambana rambana taratibu kama vitoto vya mbwa mwitu huku Achumani kichwa wazi wa shebby akizidi kudondosha mate ya uchu wa kuiramba asali ya mwajuma iliyofichwa katikati ya pachupachu ya mapaja ya Dokta Asha na kumfanya Kamishna asahau kama mguu wake mmoja ulikuwa na jeraha pia mifupa bado haikuungana vizuri na hata lile swala kuhusu message aliyoisoma na kumchanganya alfajiri ile alilisahau kabisaaa kuliulizia tena kujua ile namba ilikuwa ya nani?
Zaidi mawazo na akili yote ya Kamishna Shebby ilihamishwa na mautamu yaliyokuwa mbele yake kutoka kwenye mwili laini wenye joto la huba wa Dokta Asha.

Kilichofuata ni miguno ya kimahaba na purukushani za hapa na pale kipindi Kamishna Shebby na Dokta Asha wakivunja amri ya sita mule ndani na kuishi kwenye sayari ya ajabu kwa takribani nusu saa kabla ya kila mmoja kuridhika na kubaki hoi huku wakiwa wamekumbatiana na kuangaliana machoni kama majogoo yaliyotoshana nguvu.
"Aaagh! siamini Asha kumbe bado mtoto kabisa?"
aliongea Shebby na kumpelekea Asha mdomo na kuanza kunyonyana ndimi huku wakifonzana mate kwa hisia kali.
"Nakupenda sana Shebby kumbe na wewe fundi kiasi hiki Mhh! kama Simbaa!!"
aliongea kwa sauti ya kudeka Asha na kumlalia kifuani Kamishna Shebby.

* * * * *
(MKUYUNI)
...............

Alistuka kidogo na kushusha pumzi Cj4 baada ya kumtazama machoni yule mtu na kugundua kumbe alikuwa yule mama mtoto wa marehemu Mnyungunyungu aliyerukwa akili na alipomkazia macho ndipo yule mama alipojichekesha na kuanza kujifunua nguo huku akikimbia na kucheka kwa sauti ya juu.
("Mh! huyu naeeee ok nitajua cha kufanya")
aliwaza moyoni Cj4 wakati akielekea kwenye ile nyhumba na kuingia chumbani kwake kuendelea kurekodi kile alichokuwa anakitafiti.

Mpaka dakika hiyo Cj4 aliweza kujua sababu zilizompeleka Kamishna Shebby pale mkuyuni na alielewa kuwa yule mfungwa Hussein bubu hakuwa na makosa yoyote ila alijua kuwa mchezo ule unachezwa na huyo mtu anayejiita Mr X ambae alikiri moyoni mwake Cj4 kuwa huyo mr X ni mtu anaetumia akili nyingi sana kuliko nguvu na ana wafuasi wengi.
Lakini alitafakari sana mule ndani na kuona jinsi ya kumpata mr X kirahisi ni sawa na hakuna kwani atakuwa anamtafuta mtu kwenye mzunguko asioujua kwani huwezi kumshinda mtu mwenye akili kwa kumtafuta ilihali humjui ila yeye anakujua kama unamtafuta na alibaini kuwa jinsi ya kumtafuta mr X ni kumtafuta pasi na yeye kujua kama anatafutwa na njia aliyoiona ni sahihi ni kumuingiza mr X kwenye mzunguko wa mission yake ili aweze kumtambua pasi na yeye kutambulika.
("Yap thats is a Solution")
alijisemea kimoyo moyo Cj4 na kunyanyuka haraka kuanza kujipachika mwilini vitu vichache muhimu na pale pale alichomoa simu na kupiga kwa mkuu wa Majeshi na kumuelekeza jibu alilolipata kwa siku moja tu baada ya kutua Mkuyuni na Mkuu wa Majeshi aliporidhika alimuamuru kuwa afanye hima arudi makao makuu na yeye ataongea na Muheshimiwa Rais ili wafanye vile alivyopendekeza.
Na ndipo baada ya hapo kwa kutumia mbinu za Kikomandoo Cj4 aliweza kutoweka Mkuyuni baada ya kuwasili na kukaa masaa 24 pekee.

IKULU~DSM)-
.......................

Kikao cha siri kwa dharula kilikuwa kinaendelea ambapo alionekana Mh Rais sambamba na wazili wa ulinzi na mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama bila kumsahau Kamanda mkuu wa jeshi la polisi huku pembeni yake akionekana Jaji mkuu wa taifa.
Mada iliyokuwa inaendelea ni juu ya swala zima lililojiri miezi ya karibuni kule Mkuyuni juu ya shambulio la polisi na kutojulikana sababu na muhusika wa shambulio hilo huku wakiongozwa mjadala ule na ripoti maalum kutoka kwa Komandoo waliyempandikiza kufanya utafiti na kugundua kuwa chanzo cha Kamishna wao kuliingiza jeshi kwenye misukosuko ni kutaka kuujua ukweli wa kesi ya zaidi ya miaka ishirini ya mfungwa mmoja aliyekuwa kwenye gereza lake ili apate kuifufua na kumsaidia baada ya kugundua kuwa alihukumiwa kimakosa na kiuonezi.
Ripoti ya Cj4 ilikiri kuwa ni kweli huyo mfungwa ambae aliitwa Hussein alihukumiwa kimakosa lakini si kimakusudi bali kutokana na mchezo mchafu wa akili nyingi uliokuwa unachezwa na mtu asiyejulikana jina lake halisi wala makazi na wadhfa wake zaidi ya kutumia kivuli cha jina la MR.X
Na iliongezea kuwa mr.X bado yupo na ana mtandao mkubwa na ni vigumu sana kum baini kwa kutuma wapelelezi bali ripoti ilishauri cha kufanya ni kumuingiza Mr X kwenye mtego utaofanya atume wapelelezi na majasusi wake na hapo ndio itakuwa rahisi kumpeleleza na kupambana nae.
Na njia ya kumuingiza mr X kwenye huo mtego ni kumtoa gerezani na kumuacha huru kwa kupitia kipengele cha msamaha wa rais mfungwa Hussein na wafanye jingo itayowawezesha watu wengi wasikie na hiyo itakuwa njia ya mr X kutuma watu wakamuue Hussein ili asiongee mengi zaidi aliyoyajua na hapo ndipo wao watapata nafasi ya kuunasa mtandao wa mr X na mr X mwenyewe kwani watapandikiza ulinzi yakinifu kwa Hussein popote atapokuwa.

"Jaji unasemaje, unakubaliana na hiyo ripoti ya kijana wetu?"
aliuliza muheshimiwa Rais mara baada ya wakuu wote wa jeshi kukubaliana na ripoti ile kasoro Jaji ambae bado alikuwa anafikiria kitu.
"Mh! muheshimiwa ripoti sio mbaya sana ila nilikuwa na wazo japo najua hata nikipingana nayo itakuwa ishapita kutokana na uchache wangu na wingi wenu lakini napenda kupendekeza wazo langu kuwa kwanza tunalazimika kuonana na wastaafu wa kipindi hiko na kuwahoji kwa pamoja hasa wakuu wa usalama kwani naamini kwa akili za huyo mr.X lazima atakuwa alikuwa mmoja wa wakuu wa usalama nchini na si mtu wa kawaida na pengine alipendwa sana na wananchi na alikuwa na sifa hapa nchini ambayo hataki ipotee wala ichafuliwe. kwa hiyo napendekeza wapatikane watu kama wazili wa ulinzi mstaafu wa kipindi hiko, mkuu wa majeshi kwa bahati mbaya hatunae ila yule wa polisi uzuri bado yu hai yupo huko Morogoro."
aliongea Jaji kauli iliyomfanya mh Rais kutikisa kichwa kwa ishara ya kukubali.
"Enheee harafu huyu kamanda wa pilisi namkumbuka vizuri miaka ile si mzee Cyplian kama sikosei... na isitoshe tulikuwa nae katika shughuli ya kuwaaga marehemu siku ile na alinambia kuwa kumbe yule mkuu wa kituo Mkuyuni aliyeuawa alikuwa mwanae."
alidakia kamanda mkuu wa jeshi la polisi
"Basi vizuri Jaji itabidi tufanye hivyo pia ila kwa njia ya kijeshi na usalama zaidi tutayafanya hayo yote kwa pamoja aachiwe huyo mfungwa na kipindi hikpo hiko wastaafu muhimu tutakuwa nao faragha na itakuwa rais zaidi kubaini kama mmoja wao akawa ndie Mr X"
aliongezea mkuu wa Majeshi na baada ya makubaliano hayo kikao kilifungwa.

... Saa zilikatika, siku zilisonga na baada ya wiki kadhaa tena mbele hatimae Kamishna Shebby alipona vizuri mguu wake na kuweza kutembea kwa ufasaha huku mapenzi baina yake na dk Asha yakipamba moto siku hadi siku hali iliyowafurahisha na kuwachochea wazazi wa Shebby kutaka kuona mtoto wao akimuoa kabisa yule daktari wa kipekee.
Hata moyoni mwake dk Asha alizidi kumpenda Kamishna Shebby na kuwa radhi kuolewa nae.

Siku moja majira ya usiku sana ikiwa ndio ilikuwa siku ya mwisho kwa dk Asha kuwepo pale kwenye jumba la mzee Mwinchande baada ya kumaliza shughuli ya kumtibu kijana wake na ilipaswa arejee kwao ili kama taratibu za ndoa zianze kufanywa na ataporejea awe Mke rasmi wa Kamishna Shebby, ndipo usiku huo baada ya Shebby kupitiwa na usingizi Dokta Asha alinyata na kuchomoa pakiti ya sindano kwenye moja ya mabegi yake ya dawa na kuchukua kichupa kimoja kilichokuwa na dawa maalum ya ganzi na usingizi ndani yake na kuichoma kwa kuiingiza ndani ya bomba la sindano kabla ya kumchoma taratibu Shebby ambae alikuwa kalala fofofo na baada ya dakika kadhaa ndipo alipochukua kifaa maalum mithili ya bastora ambapo ndani yake kulikuwa na bomba la sindano kubwa na nyuma sehemu ya kushikia kulikuwa na waya wa umeme ambao aliupeleka mpaka kwenye socket na kuichomeka kisha kuiwasha na kumsogelea kitandani Shebby.
"am so sorry baby kwa kufanya haya bila ya ridhaa yako but it's all about Love"
aliongea mwenyewe Dk Asha na kum busu kwenye paji la uso Shebby ambae tayari alikuwa ndani ya nusu kaputi na ndipo taratibu alikamata lile bomba lililo katika muundo wa bastora na kumpekua Shebby sehemu za kichwani pale alipokuwa anapenda sana kumshika na kupatazama kwa muda mwingi huku akionesha kumuhurumia muda mwengine hadi akawa analia na taratibu aliuelekeza mdomo wa lile bomba na kubonyeza kitufe furani mithili ya kile cha kuruhusu risasi itoke huku akiutuliza kwa umakini mkono wake kwa kuundamiza ule mdomo wa bomba huku akizungusha kijidude kilichokuwa pale ulipoanzia waya ulioelekea kwenye umeme na ndipo mara kwa ndani ya bomba kulianzakuonekana damu zikiingia baada ya kusikika mlio wa 'prruchuu' ndani ya bomba na kuonekana kijisindano kidogo ndani yake kilichotoka kichwani mwa Shebby.
Alichukua pamba na kuibandika pale kichwani mwa Shebby haraka haraka na kuchukua sprit maalum na kuimwagia pindi tu alipotoa lile bomba mfano wa bunduki ili kukata vijidamu vilivyoanza kutoka kupitia kijitobo chembamba kilichosababishwa na ile sindano kubwa iliyotoka ndani yake na kufonza damu sambamba na kile kijisindano kilichotoka kichwani mwa Shebby.

"Ohh! my God, pole sana honey hope now mambo yataanza kurudi nakuwa sawa polepole. Najua hautajua nami sitomwambia mtu honey."
aliendelea kujisemea Dk Asha mithili ya kuwa alikuwa anaongea na Shebby ilihali Shebby hakuweza kusikia wala kuhisi chochote.
Asha alikuwa mtaalam sana kwani aliweza kupakausha na kupashona na vijiuzi maalum vyenye rangi kama ngozi ya binaadam kabla ya kukibandika chengine kwa matilio maalum yaliyoweza kuziba kabisa na kuwa vigumu sana mtu kubaini kama sehemu ile ya kichwa cha Shebby kulikuwa na jeraha lolote.

Baada ya hapo alisafisha vizuri na kukitoa kile kisindano kilichotoka kichwani mwa Shebby kilichokuwa ndani ya bomba na kukitazama kwa umakini kabla ya kukihifadhi kwenye matereo yake na baada ya kuhakikisha kila kitu kipo sawa alimchumu Kamishna Shebby kisha na yeye kulala.

Asubuhi kulipambazuka na kamishna Shebby aliamka kama ilivyoada na kumkuta dk Asha akiwa anajiandaa andaa kuonesha kuwa aliamka muda mwingi
"so baby mi mkataba wangu ndio hivyo tena, sasa kama kupona kwako ndo na mapenzi yameisha tutajua pindi nitapokuwa kwetu"
aliongea na kufanya utani kidogo dk Asha kipindi hiko Shebby alibaki kalala chali pale kitandani akiwa kaegama kwenye mito akimuangalia Asha huku moyo wake ukitamani asiondoke.
Lakini hakukuwa na jinsi ukweli ulibaki kuwa mkataba wa Asha kuendelea kuwapo pale ulikuwa umeisha na ni zaidi ya milioni miamoja sabini ziliingizwa kwenye account yake kwa muda ule mfupi alioutumia kukaa pale kwa mzee Mwinchande na kumuhudumia Kamishna Shebby.
Lilikuwa ni jambo la furaha sana kwa familia nzima mara baada ya Shebby kujiandaa na kutoka sambamba na dk Asha pale kwenye sebule yao kubwa ambapo kulikuwa kumekatwa upande kwa niaba ya vikao vya dharula na kuungana na familia nzima iliyokuwa tayari eneo lile kwa dhumuni la kufanya tafrija fupi ya kumuaga dk Asha na kumshukuru kwa yote aliyofanikisha kuhakikisha Kamishna Shebby anarudi kwenye hali ya kawaida.

Tafrija iliongozwa na mzee Mwinchande mwenyewe kwa kutoa maneno ya hekima na nasaha kwa Asha huku akimsisitiza aendelee kuwa na moyo ule wa kipekee na asije kubadilika pindi watapotuma watu kwaajili ya kujitambulisha huko kwao kwani walihitaji kuunganisha undugu na ukaribu kabisa kwa njia ya kuolewa na mtoto wao Kamishna Shebby.
"Nashukuru sana baba nami sitoweza kubadilika kwani ukweli nampenda sana Shebby"
aliongea kwa sauti laini Asha na kuwafanya wote watabasamu na baada ya tafrija kuisha gari maalum aina ya Lange ambayo ilikuwa ni mali ya Dk Asha iliondoka sambamba na escot kutoka kwa kamishna Shebby mpaka maeneo ya jilani kabisa na alipokuwa anaishi Asha ambapo alidai kuwa anaishi na mamaake na isingekuwa vyema Shebby kufika moja kwa moja japo ilijulikana kuwa alikuwa ni mgonjwa wake.
Na hapo ndipo walipoachana Shebby na Asha japo mawasiliano yaliendelea kuwapo huku mawazo yao yakilenga siku ziende haraka ili waoane na kuwa pamoja.


Itaendelea. ....
 
Uf...
7542454664e46f8809b95961d06f8c94.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom