Makapuku Forum

Makapuku Forum

*﴿ ﺑِﺴْﻢِ ﺍﻟﻠﻪِ ﺍﻟﺮَّﺣْﻤﻦِ ﺍﻟﺮَّﺣِﻴﻢِ ﴾*

*Maneno ya Dhahabu*
*( 121 )*

_*USIHUZUNIKE NA KUIPA DHIKI NAFSI YAKO (2)*_


*لا تحزن يا أخي الحبيب:*
*♡ USIHUZUNIKE NDUGU YANGU KIPENZI:*

*JE KWANINI?*

*◇ لأن الحزنَ لا يردُّ مفقوداً،*
*KWA SABABU: HAKIKA HUZUNI HAIREJESHI KILICHOPOTEA.*

*◇ ولا يبعث ميتاً،*
*WALA HAIFUFUI MAITI.*

*◇ ولا يردُّ قدراً،*
*WALA HAIREJESHI KILICHO QADIRIWA (NA ALLAH MTUKUFU)*

*◇ ولا يجلب نفعاً*
*WALA HAILETI MANUFAA.*

*بل ويخوف من المستقبل ويذهب على المرء يومه....*
*BALI HUTIA KHOFU KUTOKANA NA YAJAYO NA HUIMALIZA BURE SIKU YA MTU BILA FAIDA.*

*♡ فيا أخي الحبيب ...*
*NDUGU YANGU KIPENZI.....*

*لماذا الحزن؟*
*HUZUNI YA NINI?*

* فإن كنت فقيراً فغيرك محبوس في دَيْن،*
*IKIWA WEWE NI FAQIRI, BASI (USIHUZUNIKE) BALI TAMBUA KUNAWENGINE WAPO MAHBUSU KUTOKANA NA MADENI.*

*■ KWA MAANA, BADO WEWE UTAKUA NA UNAFUU ZAIDI, JAPO NI FAQIRI LAKINI BADO UPO HURU.*

* وإن كنت لا تملك وسيلةَ نقلٍ فسواك مبتور القدمين،*
*NA UKIWA WEWE HUNA CHOMBO CHOCHOTE CHA USAFIRI, (LAKINI UNAYO MIGUU) BASI USIHUZUNIKE, KWA SABABU WAPO WENGINE HATA HIYO MIGUU HAWANA (WAMEKATWA KUTOKANA NA MARADHI)*

* وإن كنت فقدت ولداً فسواك فقد عدداً من الأولاد في حادث واحد.*
*NA IKIWA HUNA MTOTO, BASI PIA (USIHUZUNIKE) KWANI WAPO WENGINE WAMEPOTEZA IDADI KUBWA YA WATOTO KATIKA TUKIO MONA TU.*

*■ USIHUZUNIKE DAIMA, KWANI HALI ZA SHIDA NA RAHA KWA MUUMIN ZOOTE NI KHERI KWAKE.*

قالَ رَسُولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم:
*Asema Rasulu (ﷺ)*

*"عَجَبًا لأَمْرِ المؤمنِ إِنَّ أمْرَه كُلَّهُ لهُ خَيرٌ ليسَ ذلكَ لأَحَدٍ إلا للمُؤْمنِ إِنْ أصَابتهُ سَرَّاءُ شَكَرَ فكانتْ خَيرًا لهُ وإنْ أصَابتهُ ضَرَّاءُ صَبرَ فكانتْ خَيرًا لهُ"* {رواهُ مُسْلِمٌ}

* MAANA YAKE:*

_*“Ni ajabu jambo la muumini, hakika mambo yake yote ni kheri na hilo haliwi kwa yoyote isipokuwa muumini, akipata yenye kufurahisha anashukuru na hivyo kuwa ni kheri kwake, na akipata lenye kudhuru anasubiri na hivyo kuwa ni kheri kwake.”*_

* NAAMINI KAMA UTAKUA UMESOMA KWA KUZINGATIA, BASI HAUTOKUA TENA NA SABABU YA KUHUZUNIKA.*

*{إِنَّمَا يَتَذَكَّرُ أُولُو الْأَلْبَابِ}*
_*Hakika wenye akili ndio wanao zingatia,*_


*الدعوة اﻹسلامية.*JUMUA MUBARAK

Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu , nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu kwa ajili ya jina lako uniongoze unichunge

Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri maana wewe ndiwe ngome yangu

Mikononi mwako naiweka roho yangu umenikomboa , Ee Bwana Mungu wa kweli
ZABURI:31:1:5


Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema
Ahsanteni kwa maombi
Niwatakie Siku njema
....

 
Leo katika Historia

1954 - Hugo Chavez anazaliwa.
Alikuwa ni kanali katika Jeshi na baadaye kuja kuwa Rais wa nchi ya Venezuela.Komredi Chavez anakumbukwa sana kwa misimamo yake na isiyoyumba dhidi ya Marekani.
Ni moja kati ya Makomredi walioisumbua sana CIA kando ya Komredi Fidel Castro.
Alifariki mwaka 2013, wengi wanashuku kifo chake kilitokana na faulo toka kwa Marekani.
143d7f03d5a13d04a22ba6d4baffbf6a.jpg
7aba5104883a53d70088b11a432b61ab.jpg
7688780dd1edde5765bb53a5d0cde00f.jpg

Saluti kamanda
& HBD
.....
 
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiabike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu , nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu kwa ajili ya jina lako uniongoze unichunge

Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri maana wewe ndiwe ngome yangu

Mikononi mwako naiweka roho yangu umenikomboa , Ee Bwana Mungu wa kweli
ZABURI:31:1:5


Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema
Amen, ubarikiwe sana mtoto wa Mama mchungaji, nawe pia siku njema
 
Leo katika Historia

1971 - Abu Bakr Al Baghdadi anazaliwa.

Ni kiongozi wa kundi hatari la Kigaidi la Islamic State. ( ISIS )
8877fbeca09caded8f3cc21d6496def9.jpg
cfdf493b9f92f1eb5d18a372e01d5357.jpg
ddaef8f757a2bb1edd313bf6c10e4211.jpg

Julai 12 kuna tetesi kwamba Warusi qaliishambulia ISIS na kufanikiwa kumuua

Hili ni kundi linalofadhiliwa na Wamarekani kwa maslahi yao + kuuchafua Uislamu
....
 
10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray
9e1d6fb6d17130d885085423061c3464.jpg
9e9e4359af5e318aabb9dd1303e76da6.jpg

Hawa mapacha waliishi maishi ya kijanjajanja tu
Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya utapeli,wizi, mauaji,ukabaji na kila aina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao na hivyo kupata shavu kwenye vyombo vya habari na pia kupiga assist kwa mastaa

Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom