Makapuku Forum

Makapuku Forum

..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.

Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
Sawa mtaasisi
 
..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.

Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
Siku ile tumeweka dau na wale washikajii tunafika hospital wale wanne wakatimua mbio siri ule mshiko tunajipatia mchemsho kwa kufojiii karatasi na kipind hicho hatujui positive anakuwaje na negative anakuwaje...

Unakumbuka wee ulijaza positive kama sikoseiii ...au nimekoseaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom