Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku ile tumeweka dau na wale washikajii tunafika hospital wale wanne wakatimua mbio siri ule mshiko tunajipatia mchemsho kwa kufojiii karatasi na kipind hicho hatujui positive anakuwaje na negative anakuwaje...

Unakumbuka wee ulijaza positive kama sikoseiii ...au nimekoseaa

Ha hahahahah, walikimbia sana na hasa yule ambaye kanisani ndo anasoma matangazo na wanakwaya kiongozi. Ila anko ulikuwa unatetemeka japo ulivaa suti lakini niliona hadi colar inatetemeka.

usingeongea na yule mpimaji sijui ingekuwaje, tukajinywea supu yetu swaafi. si ndo siku ile uliondoka na yule mhamiaji haramu au ni baada ya hapo.
 
Siku ile tumeweka dau na wale washikajii tunafika hospital wale wanne wakatimua mbio siri ule mshiko tunajipatia mchemsho kwa kufojiii karatasi na kipind hicho hatujui positive anakuwaje na negative anakuwaje...

Unakumbuka wee ulijaza positive kama sikoseiii ...au nimekoseaa

umekosea, niliweka alama ya msalaba, si unajua tena sikutaka kuonekana silijui kanisa,
 
..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.

Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
 
Ha hahahahah, walikimbia sana na hasa yule ambaye kanisani ndo anasoma matangazo na wanakwaya kiongozi. Ila anko ulikuwa unatetemeka japo ulivaa suti lakini niliona hadi colar inatetemeka.

usingeongea na yule mpimaji sijui ingekuwaje, tukajinywea supu yetu swaafi. si ndo siku ile uliondoka na yule mhamiaji haramu au ni baada ya hapo.
Usinikmbushee lile timbwilliii dadeeeekii nikikuchekii umekazana twende twendeee....

Nginja nginjaaaa hospital hiyooooo....ila walituokoaaa


Niliendaa kujipozaa wewe kijashoo kinene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom