Makapuku Forum

Makapuku Forum

Natamani ipigwe marufuku sema ndo hivyo tena miradi ya wakubwa.

Hii midawa imeondoa khofu yote iliyokwepo mwanzo noma sana
Zamani ukikanyaga miwaya tu jeuri kwisha kila mtu atajua
Utakonda kama mbao
Utaharisha kama bata
Utanyonyoka nywele kama kunguru
Utakohoa kama jenereta
Nguo zote zitakuvuka hata ukaze mkanda

Ila siku hizi kila mtu bonge

.......
 
Zamani ukikanyaga miwaya tu jeuri kwisha kila mtu atajua
Utakonda kama mbao
Utaharisha kama bata
Utanyonyoka nywele kama kunguru
Utakohoa kama jenereta
Nguo zote zitakuvuka hata ukaze mkanda

Ila siku hizi kila mtu bonge

.......
Ile hali ilikua kama aibu hivi kwenye family ndomana watu uwoga ulikwepo sasahivi looooo ukienda club watu hata hawajuani kwenye giza wameinamishana na baada ya hapo hawata juana vilevile ni khatariiii

Mbaya zaidi kwenye vigodoro ni noma mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom