Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Maambukizi katika njia ya upumuaji
6ace91a8665d6b74db3dd1155575b5ae.jpg
679340a8dcef66d18bf425854fb5bbf6.jpg
462f9c5f9338b7c37dbcfe4b5fb71377.jpg

Hakuna mswahili asiyeujua ugonjwa wa pumu
Pia juzijuzi kuna kapuku mwenzetu kapoteza maisha kutokana na maradhi ya upumuaji{RIP Ibra)
Huu ushambulia mfumo wa upumuaji...Unaweza kuwa pneumonia au bronchitis
Tunasisitizwa kufanya mazoezi,kula vyakula salama kwa afya,kuishi kwenye nyumba zenye hewa swaafi yaani madirisha yanayoruhusu hewa kupita,pia tupandikize miti nyumbani,kuepuka kazi za vumbi n.k
Husababisha vifo 3.5 Milioni kwa mwaka
.........
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
2/Kiharusi
798c612b1a0645caf0fe710ccf511384.jpg
63cb8f18b31553253559cb7023613882.jpg
f814f321bcc4bd3f3cd4789d00f24fdd.jpg
Kitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu la damu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.................
 
9/Kifua Kikuu
f425f37e59ab36d35f202df87d1beb01.jpg
0a355dd8ef402d74feb31c9c03cfefa2.jpg
667c9d03c3bfac5f880bd49bc3575e19.jpg
Huu ugonjwa huenezwa na bacteria kwa njia ya hewa...huathiri zaidi mapafu lakini pia huweza kuenea hadi katika vuingo zingine
Mgonjwa hupoteza uzito kwa kiwango kikubwa
Kuna uhusiano mkubwa kati ya Kifua Kikuu na mtu kuwa na VirusiVya Ukimwi
Husababisha vifo 1.4 Milioni kwa mwaka
..........
Huu nao ni tatizo
 
7Ukimwi
d939c21fee5fb1b024f904eaa249eb34.jpg
5e3db1bedf4f13e66ce5a920d9c16420.jpg
91980670fcf88e416829633c389aa23f.jpg

Ferouz likiri wazi kwamba starehe zimemponza ila MwanaFA kwa umbea akasema marehemu alikufa kwa ngoma
Siku hizi kila mtu ni bonge sasa sijui utamtambuaje
Huu huenezwa zaidi kwa kujamiiana(hatachi ng'o)
Haina tiba bali una kinga(kondomu)....Zamani mtu akiugua hili gonjwa ilikuwa ni rahisi kumjua ila siku hizi ARV zimewafanya watu wanenepe na kupunguza vifo vya mapema
Huua watu 1.8 Milioni kwa mwaka
..... ..
Ukimwi (ukosefu wa kinga mwilini) hili kweli ni tatizo

VVU hapa ndio kwenye kiini macho sasa
Ukafanye hiyo assignment niliyokupa
Cc Eiyer
 
5/Vifo vitokanavyo na uzazi
73fb3c33c2651a8a898b01c24d3a05f9.jpg
14484ef0effe186a0a0d50aa9a036c88.jpg
097e453f610767cc52520dd6331d6edc.jpg
Kuna usemi kwamba ujauzito ni nusu ugonjwa
Kilichomtokea mke mdogo wa Mzee Yusuf juzijuzi hapa kila mtu anajua...inasikitisha
Vifo vinavyoongelewa ni vya mama wajawazito pamoja na vya watoto wachanga wakati wa kujifungua
Huathiri zaidi nchi maskini kutokana huduma mbovu za afya
Kina mama nusu Milioni na watoto zaidi ya 2.5 Milioni hufariki
Jumla ni vifo 3+ Milioni
.........
Hili tatizo hizi nchi maskini ni kama linazidi kujua tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom