mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Kwa uku kwetu Lushoto ni kweli.... ..lakini mimi nimekulia mjiniKuna vibabu vinazeeka sura tu. Viungo vingine kama under 20

Kwa uku kwetu Lushoto ni kweli.... ..lakini mimi nimekulia mjiniKuna vibabu vinazeeka sura tu. Viungo vingine kama under 20

Wanakuonea wivu wewe una babu wao hawanaUongooo jamaan eti babu ni kweliii

Umepitwa mke mweee muombe mumeo akusaidie maelezo namna ya kusearchMpendwa wa binamu asante sana jaman sasa ni mimi ndio nimepitwa au mbona episode ya pili sijaisoma jaman
Ni kweli mjukuu wanguWanasema ngombe hazeeki maini
Wewe umejuaje.... Au unapiga ramli siku hizi?Babu atakataa kukubali mbele za watu ila kimoyomoyo anajua ni kweli

Hbr ya jioni baba watotoEndelea kupasha tu
Ni kweli wengine hapa tutakimbia bureSio kila mtu anapenda kuona vikongwe Mjukuu wangu.
Mara nyingi wanaotuhumiwa wachochezi wanakuwa wameongea jambo la ukweli..Wewe Demi wacha uchochezi
raha eeh?babu wa mwendokasi hapana aisee acha nitongozwe kwa kilugha
Shemela kaniambia kumbe iliwekwa mama jj basi acha tu tuendelee mpendwa wa binamu nae hana ratiba maalumu watoto wangu wanaendeleaje lakini mke mweeUmepitwa mke mweee muombe mumeo akusaidie maelezo namna ya kusearch
Babu..you know am right.Wewe umejuaje.... Au unapiga ramli siku hizi?![]()
Hongera sana babuNi kweli mjukuu wangu
Karaha mie ni mke wa mtu baburaha eeh?
Ugonjwa huu uusikie tu jaman8/Saratani![]()
Saratani kutokea pale seli zinaposhindwa kufanya kazi(kufa}..ikumbukwe viungo vyote kwenye mwili wa binadamu vimeumbwa kwa seli hivyo basi kila kiungo kina saratani yake, wanawake hushambuliwa na saratani ya matiti na kizazi wakati wanaume ni tezi dume![]()
Saratani husababishwa na sababu za kibaolojia. Uvutaji sigara n.k
Huu ndo ugonjwa uliowaua Kambarage Nyerere,Daudi Balali,Samwel Sitta huku Jakaya Kikwete akiponea chupuchupu kwa saratani ya tezi dume baada ya kuwahi matibabu
Husababisha vifo 1.5 milioni kwa mwaka
.........
Shikamoo babuWewe Demi wacha uchochezi
Mke mweee mambo,mama mchuchu na Sakayo hajamboNi kweli wengine hapa tutakimbia bure
Hauna tajiri wala maskiniUgonjwa huu uusikie tu jaman