Makapuku Forum

Makapuku Forum

7Ukimwi
d939c21fee5fb1b024f904eaa249eb34.jpg
5e3db1bedf4f13e66ce5a920d9c16420.jpg
91980670fcf88e416829633c389aa23f.jpg

Ferouz likiri wazi kwamba starehe zimemponza ila MwanaFA kwa umbea akasema marehemu alikufa kwa ngoma
Siku hizi kila mtu ni bonge sasa sijui utamtambuaje
Huu huenezwa zaidi kwa kujamiiana(hatachi ng'o)
Haina tiba bali una kinga(kondomu)....Zamani mtu akiugua hili gonjwa ilikuwa ni rahisi kumjua ila siku hizi ARV zimewafanya watu wanenepe na kupunguza vifo vya mapema
Huua watu 1.8 Milioni kwa mwaka
..... ..
 
7Ukimwi
d939c21fee5fb1b024f904eaa249eb34.jpg
5e3db1bedf4f13e66ce5a920d9c16420.jpg
91980670fcf88e416829633c389aa23f.jpg

Ferouz likiri wazi kwamba starehe zimemponza ila MwanaFA kwa umbea akasema marehemu alikufa kwa ngoma
Siku hizi kila mtu ni bonge sasa sijui utamtambuaje
Huu huenezwa zaidi kwa kujamiiana(hatachi ng'o)
Haina tiba bali una kinga(kondomu)....Zamani mtu akiugua hili gonjwa ilikuwa ni rahisi kumjua ila siku hizi ARV zimewafanya watu wanenepe na kupunguza vifo vya mapema
Huua watu 1.8 Milioni kwa mwaka
..... ..
Mungu atusitiri tuwe makini

Kupima afya ni vyema zaidi sasa hivi hukupa uhakika juu ya afya yako na inakufanya unakua makini zaidi

Nimevamia sijui hope mko poa!! Jioni njema!

Madame S
 
7Ukimwi
d939c21fee5fb1b024f904eaa249eb34.jpg
5e3db1bedf4f13e66ce5a920d9c16420.jpg
91980670fcf88e416829633c389aa23f.jpg

Ferouz likiri wazi kwamba starehe zimemponza ila MwanaFA kwa umbea akasema marehemu alikufa kwa ngoma
Siku hizi kila mtu ni bonge sasa sijui utamtambuaje
Huu huenezwa zaidi kwa kujamiiana(hatachi ng'o)
Haina tiba bali una kinga(kondomu)....Zamani mtu akiugua hili gonjwa ilikuwa ni rahisi kumjua ila siku hizi ARV zimewafanya watu wanenepe na kupunguza vifo vya mapema
Huua watu 1.8 Milioni kwa mwaka
..... ..
Mungu atunusuru inasikitisha sana
 
Mungu atusitiri tuwe makini

Kupima afya ni vyema zaidi sasa hivi hukupa uhakika juu ya afya yako na inakufanya unakua makini zaidi

Nimevamia sijui hope mko poa!! Jioni njema!

Madame S
Acha tu Bongo ipo kwenye TOP TEN ya nchi zinazoongoza duniani kwa Ukimwi
ARV ndo zimeongeza tatizo maana now kila mtu boge
Kazi tunayo
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom