Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Kiharusi
798c612b1a0645caf0fe710ccf511384.jpg
63cb8f18b31553253559cb7023613882.jpg
f814f321bcc4bd3f3cd4789d00f24fdd.jpg
Kitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu la damu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.................
Huu ugonjwa ni hatari sana aisee
 
1/Ugonjwa wa Moyo
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg
e9ba76c22b502f6f5d48ce5cf401aa56.jpg
f4219b9d1eaf7b45d9379072b7dfd0a5.jpg
Moyo ndo injini ya mwili na waswahili husema kazi ya moyo ni kusukuma damu ..kupenda ni kiherehere Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji ila bwana yule na jamaa yake hawamwonei huruma wamekomaa tu na Mhindi wa watu ...tumuombee

Huua watu takribani milioni 7.2 kwa mwaka
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
 
1/Ugonjwa wa Moyo
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg
e9ba76c22b502f6f5d48ce5cf401aa56.jpg
f4219b9d1eaf7b45d9379072b7dfd0a5.jpg
Moyo ndo injini ya mwili na waswahili husema kazi ya moyo ni kusukuma damu ..kupenda ni kiherehere Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji ila bwana yule na jamaa yake hawamwonei huruma wamekomaa tu na Mhindi wa watu ...tumuombee

Huua watu takribani milioni 7.2 kwa mwaka
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
Asantee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom