Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Saratani
7b6cbe30a0192bb0edc5620ccc4e3f79.jpg
dfaef5b80eaaae737ce987fc2b740c54.jpg
d47179e73307edbbb68c4313de9d627a.jpg
Saratani kutokea pale seli zinaposhindwa kufanya kazi(kufa}..ikumbukwe viungo vyote kwenye mwili wa binadamu vimeumbwa kwa seli hivyo basi kila kiungo kina saratani yake, wanawake hushambuliwa na saratani ya matiti na kizazi wakati wanaume ni tezi dume
Saratani husababishwa na sababu za kibaolojia. Uvutaji sigara n.k
Huu ndo ugonjwa uliowaua Kambarage Nyerere,Daudi Balali,Samwel Sitta huku Jakaya Kikwete akiponea chupuchupu kwa saratani ya tezi dume baada ya kuwahi matibabu
Husababisha vifo 1.5 milioni kwa mwaka
.........
Aisee
 
6/Kuhara
948d6b498e217bc79704d5452d0a0c8e.jpg
b1d532a16544652a9b44ea8dadf1b55f.jpg
5a5b039b379e927131654be7e0b94bb2.jpg
Kuhara kwa kawaida humshambulia mtu kwa siku 1 hadi 2...
Gonjwa kuu la kuhara ni kipindupindu
Sisi tunaoishi uswahilini kuharisha siyo kesi ni kama fasheni tu...tunaharisha siku mbili tatu kisha tunaendelea tu kudunda
Kuhara husababishwa na kunywa maji yasiyochemshwa,kula vyakula vichafu n.k
Ukiumwa kipindupindu ujue umelishwa kinyesi
Huua watu 2.5 Milioni kwa mwaka
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom