Makapuku Forum

Makapuku Forum

08ee11a9a3c5b061b9992e935a1486b5.jpg
 
Mshambuliaji wa Barcelona Neymar, 25, amewaambia wachezaji wenzake, Lionel Messi na Luis Suarez, kuwa atabakia Barca baada ya wawili hao kumshawishi kutojiunga na Paris Saint-Germain kwa uhamisho utakaovunja rekodi ya dunia wa pauni milioni 200. (Sport)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom