Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Zile penati za nchi gani aisee?
Zile penati za nchi gani aisee?
Pamoja sana mdauShukrani mdau
....
Kazi ya prof imewekwa waziHuu ujumbe mmh
Sasa tunaona kwanini prof anapata nguvuKazi ya prof imewekwa wazi
Leo katika Hostoria
1983 - Kunatokea machafuko nchini Sri Lanka yaliyojulikana kama " Black July " ambapo watu takribani 4000wanapoteza maisha na inasababisha kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Tusubiri tu Agosti 08Zile penati za nchi gani aisee?
Asante sana Shululu,siku njema na kwako piaView attachment 549013Sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa mkushi wa kusi nawatakieni wote jumatatu njema
Hope tutashinda, Herrera apone haraka,Tusubiri tu Agosti 08
Tusherehekea taji la kufungulia msimu
.....
Leo katika Historia
1966 - Martin Keown anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na Timu ya taifa ya England.
Lindelof + Bailly = wahuni watupuHope tutashinda, Herrera apone haraka,
Yule lindelof lile buti duuuh
Ndio anapewa jeuri na wenye dolaSasa tunaona kwanini prof anapata nguvu
Pamoja sana jagoodAsante sana Shululu,siku njema na kwako pia
![]()
![]()
Alikuwa mwanaume haswa achana na hawa akina Per Mertesecker a.k.a Per Matakataka
.....

Ndio wahuni Ila waangalie na rafu na sehemu za kucheza rafu yenyewe.Lindelof + Bailly = wahuni watupu
Tofauti yao ni rangi tu
Herrera nafikiri hajaumia sana ila pia tuna dogo Andreas Pwrreira naanza kumwelewa anacheza kiHerrera Herrera
....
Hii nchi basi tuNdio anapewa jeuri na wenye dola
Asante jimena kwa 'leo katika historia.'Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami. Niite Jimena Jimenes kwa udhamini wa blue Monday sina la zaidi
Tukutane tena hapo kesho
Ciao
Leo katika Historia
1969 - Jenifer Lopez anazaliwa.
Ni mwanamuziki mashuhuri toka.nchini Marekani ambae pia hujulikana kama " J-Lo "
Obe baadae nadhani jioni ndio itakuwa safi tukishatulia, ntaomba ngoma zake mbili tatu na Mimi pia naweka mmoja muda huu
Jennifer Lopez ft Fat Joe wimbo unaitwa hold you down
Happy birthday JLO