Makapuku Forum

Makapuku Forum

..duh, bora umekuja anko! Maana kulikuwa na fitna humu humu kuwa umefumaniwa, mimi nilibisha sana nikawa nakutetea lakini unawajua wale unaopaswa uwaweke kwenye list ya wabaya wako
haaaaaaaaaaaa nani kasema hivo kama sio shululu make ndo huwa mfitina wetu....ila wewe na wewe nina wasiwas na wewe
 
Hivi binamu we si ndio ulisema kuwa amefumaniwa


..hakika sikumbuki kukisema hiki ulichoandika. Mimi nimwandike vibaya anko wangu, hivi unajua ndo aliniletea simu ya tachi?!
Yaani hapa naandaa list aweze kuiwekea sahihi tu, na kama kawaida jina langu halimo. Jina la kwanza kabisa linafanana na lako ila sio lako Shumie
 
haaaaaaaaaaaa nani kasema hivo kama sio shululu make ndo huwa mfitina wetu....ila wewe na wewe nina wasiwas na wewe


...aisee hisia kwako upande wa kwanza ziko sahihi, ila mimi umechanganya, mimi ndo nilikuwa nawapinga wote waliounga mkono kuwa umefumaniwa, fikiria kuna mmoja muhimu alisema ulikimbizwa boksa umeshika mkononi nguo umeziacha wapi sijui, ukakimbilia baharini, kweli?
 
..hakika sikumbuki kukisema hiki ulichoandika. Mimi nimwandike vibaya anko wangu, hivi unajua ndo aliniletea simu ya tachi?!
Yaani hapa naandaa list aweze kuiwekea sahihi tu, na kama kawaida jina langu halimo. Jina la kwanza kabisa linafanana na lako ila sio lako Shumie
Binamu naitwa shunie mie jamaan sio shumie naomba niwekee hiyo nyimbo ya shusho eeh Bwana
 
..hakika sikumbuki kukisema hiki ulichoandika. Mimi nimwandike vibaya anko wangu, hivi unajua ndo aliniletea simu ya tachi?!
Yaani hapa naandaa list aweze kuiwekea sahihi tu, na kama kawaida jina langu halimo. Jina la kwanza kabisa linafanana na lako ila sio lako Shumie
binamu tushawahi kuvunjiana heshima na hekima ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom