Mbina unjiquote mwenyeweObe and Husna are made for each other... They are a natural 'pair'
Typing error... Si unaona hio ya mwanzo?Mbina unjiquote mwenyewe
Vizuri sanaDuh, mtoto una maneno matamu sana yaani kila nikisoma ulichoandika juu yangu nakula nimefumba macho ili nikie kila radha.
Na mimi nabaki na wewe tu na sitojali maneno ya kando
...kumbe unanifahamu wewe, kama nakukumbuka na wewe ulihudhuria hii shoo. Mlikaa mbele kabisa na shululu

SawaTyping error... Si unaona hio ya mwanzo?
Sijui kwanini navutiwa na huu msemo 'unapambana na hali yako'. naupenda sana. Its like living in your own means, if that makes sense shedede tukutane kwa ras simba

Ha hahahahaha, me nikajua ni soda, lol, usicheke sana si unajua nakuwaga wa mwisho kujua.
Kwa hiyo chipsi mayai unaweza kuweka mayonnaise ukala ukashushia na soda?
unaniaibisha ujue..na umenipata yaani nilikuwa nimekaa imebidi niamke nikajiangalie kwenye kioo, nahisi nahitaji kupunguza baadhi ya nywele😀😀😀😱

Wapagani ndugu nilileta mahubiri humu wakasema bora niache na mie nikaamua kuacha
pole mweeHelloHello my family??
post using my macbook air using jamiiforums app