Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Nisharudi mieeHapana nilikimbia umande hafu nikajua tutakua wote huko coco
Nashangaa mpaka sasa kimya sijui safar imekufa? Hem niulizie kwanza
Nisharudi mieeHapana nilikimbia umande hafu nikajua tutakua wote huko coco
Nashangaa mpaka sasa kimya sijui safar imekufa? Hem niulizie kwanza
Usa baby iz back
u make me laughJamani mbona hivi emeoji simu yangu haina? yaani hiki ndo viemoj nilivyonavyo😀🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵
Na haka ndo kakipenzi nakofurahia😀

Wadhamini wa Leo
Nawashukuru sana kwa kuwa hapa na zaidi kuendelea kuwa hapa, sasa tupate mapumziko kidogo ya wadhamini.
Na leo itakuwa ni different a bit as our own buddy, shedede is sponsoring this song, you can sing if you want as we don't talk anymore.
I hate to guess if this choice has something to do with him being shunned (not Shunie ) out with someone I am in elo o vii ii. NOMYB everyobody has their way to cope with stress. Enjoy

Umependeza mbonaHa ahahaha, umechekea nini? Au kwa kuwa ni mweusi na nimevaa shati jeusi,na saa nyeusi yaani nakuwa naonekana kama kivuli

GoodVyema sana na mm na moenzi wangu tuko poa pia
Madame S
Hiyo mpenzi nilivyoandika had nimeona aibu but bora umeelewa msalimie shemeji usiku mwema kwenuuuGood
TupoooooWatu wameshaenda kuruka majoka now
Mapumziko Yanaendelea.
Baada ya kuwapata wadhamini wetu hebu tuburudike kidogo kwa kupata kinywaji cha baridi, offer hii inatoka kwangu mimi na husna muba , ukiagiza agiza kinywaji cha ndani (local brand) ukiagiza imported brand utajilipia
Tunakupenda sana mdau, na nikutakie usiku mwema
Ndio inavyotakiwa na kuhusu swala la raimundo sio wengi walioombwa msaada na kutoa ni kumi kwa mmoja wengine fata upepo tuNdo hivyo
Pia mi hata nifahamiane vipi na mtu mambo yetu ya nje ya Jf huishia huko huko na hata apate janga mfano kufariki simwanzishii thread au thread ikiletwa sitasema mambo yoyote kumuhusu hata jina lake halisi wala picha na hata yakitokea magumashi nauchuna tu
Mambo yangu binafsi na mtu yatabaki kuwa binafsi
.......
Tecno werevaaa
I wonder!!!
What kind of phone you using..??
post using my macbook air using jamiiforums app



Mme wangu aliniambia ni utani ujue na nikamuelewa wengine walimaanisha hawataki kabisa kusikiaMe napenda mmeo ndo kikwazo