Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaaaa May mond ndio kitu gani?
preview before printing..

Aaah mule nilikua na act as +ve Catalyst tuuu
Haina noma May Mond nimekutania vya kutosha
Halafu kwenye uzi Rainyundo acha kuzingua....
Kuna mambo huyajui
Wengine tupo kimya ila thread tunaisoma tu ila kuna mambo tunayajua na tunakausha tu
Usiku Mwema
.......
 
Lee empire hapa anahusika vipiii binamu ujue we ni binamu yangu lakini ni kivuruge ujue kila mtu apambane na hali yake niachieni lee wangu ata akiwa na nani ndio wangu jamaan

Ha hahahaaha, mjomba wangu ndo mdhamini wangu, hayo mambo mengine hahusiki kabisa
 
Back
Top Bottom