Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baadaye tutapata muziki wa wadhamini wetu, najua shedede uliomba wimbo na umenitoka, ikiwa hutojali nikumbushe tena, the thing is, uliomba kiinglish na mimi unajua kabisa leo Ijumaa nakula safari lager naongea kipolisi


Chatlie puth ft selena gomez-we don't talk any more...

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Wengine waongo tu na wapenda sifa
Ila mimi simjui physical ila kuna baadhi ya mambo nayajua na pia huwa naheshimu PM na hata ningemjua kwa sura siwezi sema
Ndo kanuni yangu
.........
Ebu tumuacheni tu kwakweli kama kuna waliotapeliwa watajua wenyewe na ujinga wao kumwamini mtu kwa avatar fake na id fake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom