Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Me napenda mmeo ndo kikwazoNyie si hampendi mke mweee
Me napenda mmeo ndo kikwazoNyie si hampendi mke mweee
Yeah! Am goodHihope u r good
Jamani mbona hivi emeoji simu yangu haina? yaani hiki ndo viemoj nilivyonavyo😀🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵
Na haka ndo kakipenzi nakofurahia😀




Ndo hivyo
Pia mi hata nifahamiane vipi na mtu mambo yetu ya nje ya Jf huishia huko huko na hata apate janga mfano kufariki simwanzishii thread au thread ikiletwa sutasema mambo yoyote kumuhusu hata jina lake halisi wala picha na hata yakitokea magumashi nauchuna tu
Mambo yangu binafsi na mtu yatabaki kuwa binafsi
.......
wengine wanapenda kuonekana wanajua lazima waweweseke ndo raha yao
I wonder!!!
What kind of phone you using..??
post using my macbook air using jamiiforums app
Hi shedy miss u alotHello dear..?
Missed you so..
post using my macbook air using jamiiforums app
Aisee anapenda sana, hapo naona alikuwa lushoto na Lee


Lushoto hakuendesheki baiskeli... Ni up and down.Shikamoo babu yke ShunieLushoto hakuendesheki baiskeli... Ni up and down.
Ndo ivo![]()
![]()
wengine wanapenda kuonekana wanajua lazima waweweseke ndo raha yao
Ninayekung'uta gitaa hapo hunioni? hii picha ilipigwa usiku sasa wamesafisha negative ikawa imeunguaungua naonekana kama mzungu kumbe sio

Marahaba hujambo mjukuu mweeShikamoo babu yke Shunie