Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,308
- 35,772
Woiiiiiiiiii wewe ndio yupi hapo binamu
Ninayekung'uta gitaa hapo hunioni? hii picha ilipigwa usiku sasa wamesafisha negative ikawa imeunguaungua naonekana kama mzungu kumbe sio
Woiiiiiiiiii wewe ndio yupi hapo binamu
Lol! Yaani hujasoma title ukabaki kusikiliza tu nyimbo!!! Nimesema jmosi hii tucheze tu na sio masuala ya ujumbe.
Husna nishamuimbia sana tu na sasa hivi anaandaa smooth (sharubati) ya kiwi-lime, strawberry, coconut , na painapo

Niko hapa,nambieeAisee, husna muba mpendwa wa Obe
Umefurahiiii mke mwee mwenyewe
Ninayekung'uta gitaa hapo hunioni? hii picha ilipigwa usiku sasa wamesafisha negative ikawa imeunguaungua naonekana kama mzungu kumbe sio



kumbe cheusi mangalaHongera mkuu
Inabidi apate wa kumtembeza mjini huyo tena apelekwe hadi wanakokula chipsi za mayonizeKwani we manga we ni wa mkoani mbona kila sehemu hujui jaman
Inabidi apate wa kumtembeza mjini huyo tena apelekwe hadi wanakokula chipsi za mayonize




sisi wengine wa mkoani mke mwee
...mkuu tena? mimi mkuu au ? kweli leo umeamua kuniita mkuu kabisa jamani, mimi huyu niwe mkuu, kweli, aisee mimi mkuu! mimi huyu huyu niwe mkuu. Hivi leo jumangapi kwanza? nisijekuwa jumatatu nikawa mwalimu wa zamu nikamsumbua mkuu wa shule


binamu mke mwee kakuchoka anakuona mwalimu mkuu leo wooiiii...ha hahaha, hizi chipsi inaruhusiwa kunywa na fanta orange au mayonize ni soda?Inabidi apate wa kumtembeza mjini huyo tena apelekwe hadi wanakokula chipsi za mayonize
binamu mke mwee kakuchoka anakuona mwalimu mkuu leo wooiiii
Niko hapa,nambiee
Acha hizo kaka Ray
![]()
![]()
![]()
.....
Asante mama watotoPole na kazi jamani
Ahsante utantembeza? mana miguu inawashaPole manga
Wee jamaa kitekno chako kitakua kinastak au kimepasuka kioo maana unacapiaga kinoumaaa..Eti Tumusa
shumie..

Shunie![]()
papuchi tu