Makapuku Forum

Makapuku Forum

af7ea338fa36891a1d243cf234260adb.jpg
 
Muziki Wikenda: Tucheze Japo Kidogo

Muziki unakujia mapema leo, unajua ni kwanini? Nitakupa sababu mwisho maana kwanza ninahitaji kukusalimia kapuku mheshimika, unajua kabisa umuhimu wako hapa jukwaani ni wa kipekee bila kujali lolote linalosemwa kwenye majukwaa mengine. KF ni Jukwaa bora, halilinganishwi wala kushindanishwa maana lenyewe ni ushindi tu na si kushindwanisha. Asante kwa kuwepo hapa Jumamosi hii.

Vipi weekend inaendaje? yangu ilikuwa rahisi sana, a lazy day, nimeamka nikaenda jogging kidogo mchangani, then nikaungana na vijana kucheza soka baadaye maveterani sisi tukajumuika kunywa supu na bia baada ya mazoezi. Mazoezi huleta appetite, nikapitia magazeti ya shululu nikasoma habari za Hitler husna muba nikajisomea historia na mapicha Jimena na Bitoz baadaye nikajibu maswali ya Tumosa na aunt yangu Shunie ambaye Bitozi hummuita Shumie (hata mimi huniita One)😀. Nikaendelea kumsubiria mjomba lee empire arudi maana nilimuona Bailly5 online pamoja na Clkey na hapo hapa kwa mbali akaja Mkushi wa kusi akivuta ganja taratibu na si nikarudi tena beach huko akaonekana Manga ML

Baadaye nikaona isiwe taabu nikanoa kiingreza kwa kumtafuta shedede ambaye alikuwa anamtafuta Mondray aliyekuwa akimkimbiza demi mtaani kwa kina Nyagei kwenye spoti huku Chelsea hadi mapumziko keshampiga Arsenal 2 mtungi. Anyway isiwe tabu maana BlessedHope hayupo kaungana na kina mzeewakungoa Mndali ndanyelakakomu , QUIGLEY Transcend na Sakayo kuchukua mapumziko na tunawamiss hapa.

Muziki sasa, kuna miziki inachezeka jama uongo ukae mbali maana ni tangu unaisikia nyuzi ya kwanza hadi tumba unabaki kufurahia na kuutingisha mwili. Hebu tuburudike na muziki wa weekend wadau wa nguvu.


binamu nilikua sijui jina unaloitwa na bitoz aisee bitoz usitufanyie hivyo tuite majina yetu jaman

binamu hii nyimbo mapenzi kitu gani umemuwekea mpendwa wako husna
 
binamu nilikua sijui jina unaloitwa na bitoz aisee bitoz usitufanyie hivyo tuite majina yetu jaman

binamu hii nyimbo mapenzi kitu gani umemuwekea mpendwa wako husna
Simu ndo hubadilisha maneno automatically sasa nisipoyapitia nakuta kosa tayari
Mfano Obe "b" imebadilishwa na kusomeka One
Shunie 'n" imebadilishwa na kuwa Shumie
Sio kwamba napenda kuyaharibu majina yenu
.....
 
Simu ndo hubadilisha maneno automatically sasa nisipoyapitia nakuta kosa tayari
Mfano Obe "b" imebadilishwa na kusomeka One
Shunie 'n" imebadilishwa na kuwa Shumie
Sio kwamba napenda kuyaharibu majina yenu
.....


Hutokea mara nyingi sana ukitumia simu, hata kwangu ni hivyo hivyo na huwa najitahidi kwenye majina maana ukikosea jina unaweza kutofikisha ujumbe sawasawa.
Pamoja sana
 
binamu nilikua sijui jina unaloitwa na bitoz aisee bitoz usitufanyie hivyo tuite majina yetu jaman

binamu hii nyimbo mapenzi kitu gani umemuwekea mpendwa wako husna


Lol! Yaani hujasoma title ukabaki kusikiliza tu nyimbo!!! Nimesema jmosi hii tucheze tu na sio masuala ya ujumbe.
Husna nishamuimbia sana tu na sasa hivi anaandaa smooth (sharubati) ya kiwi-lime, strawberry, coconut , na painapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom