Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kwahiyo mmeshaelewana shemHuwa tunakutana huko na kwingineko
Kwahiyo mmeshaelewana shemHuwa tunakutana huko na kwingineko
Kwani humjui binamu mtu wa kugawa likes na asantee ....
Amezoeaa wauza vitumbua akitoa oda ya 1000 anajiona taita ....
Binamu watu wameenda kwa rasi simba kamasio rasi faru kisa tamuuu
Hautaenda binamu endelea na waganga wako
Hivi upo upande upi binamu jamaan kwa mpendwa wako au kwa mama mchuchuNishaokoka aunt, hii safari jamani nahitaji kuungwa mkono, hata mguu jamani nisipewe upaja.
Unajua naihitaji sana hii trip aunt, usinifanyie hivyo.
BadoKwahiyo mmeshaelewana shem
Nitamsindikiza ndio binamu hata akienda kwa mdogo wa mama ashura
Lakini kule tunashuuutiiii moviee...si nilikwambiaa dili la kuigiza kaole limetikiii
Wacha nifaidiiiii
Huyo ni muuaji hatari sana
Ni jangaDanger sana
Duh, hatari sana.
Japokuwa anko wangu alitembeaga na mama Said mpika chapati ambaye ni bonge kama tembo lakini hakupondwapondwa. Si eti anko?
Achana nae na kwa taarifa yake bhinamu ujio wa shedede na macbook jumlisha na ungenge bhasi husna namuona sumbawanga
Tunashukuru sana kipenzi cha Baily5
Tupo wanao

nimefurahi kuwakuta salama
Kwa nn talaka?? Kaeni muyamalize msiachane...kwa kweli anko wangu umenifumbua macho, yaani nafurahia kuwa na wewe anko, umenifungua macho. Yaani naiona talaka inaniita kwa furaha.
Sasa nifanyeje anko, si unajua wewe ndo mshauri wangu mkuu ninayekutegemea
Kuna ukweli wowote juu ya Papa akiona viganja na unyayo hakuachi?6/Great White Share![]()
![]()
Namzunvumzia papa samaki sio Papa mkatoliki wala Papa Wemba au pengine papa utagmu
Huyu ni mfalme kule baharini ....tatizo lake ni moja tu akisikia harufu ya damu hKuachi lazima akufanyizie
Silaha yake kuu ni meno yake nakali pamoja na kasi ya kuogelea
Ila hupenda kukaa kwenye kina kirefu hivyo endelea kwenda beach kujidai kama kawa
.....
Tunafurahi pianimefurahi kuwakuta salama
Madame S
Kuna thread nilisoma et ukitaka kujihami unapokutana na tembo umfunike koti nikawaza huo muda wa kumfunika nautoa wapiNi noma akigandamiza guu lake
![]()
![]()
![]()
.....





Nimeandika damu ndio inayomvutia hivyo hata kiganha kina damu ila yeye huvutiwa zaidi na harufu ya damu hivyo hata ukitaka kumkamata damu ni kama chamboKuna ukweli wowote juu ya Papa akiona viganja na unyayo hakuachi?
Ohh!! Asante kama salam zangu umezipataAliniambia unanisalimia mamy